Jamani ndugu zangu mi nina kero moja na nimeona niitolee hapa.
hivi mbona serikali yetu haiipi kipa umbele mambo muhimu juzi nimeangalia news TBC1 kuna mwanamke toka Arusha anahitaji 900,000 mwanae akafanyiwe operation ya kutobolewa sehemu ya haja kubwa . mtoto mchanga jamani hivi vitu kama hiyo...
Wana JF niko Arusha nakuja Dar for Easter na family yangu ya watoto wawili ,dada na baba yao.
Natafuta apartment nzuri budget iwe $ 100 or less per night.
2 Bedrooms,kitchen e.t.c.
Please naombeni ushauri wenu na contacts za hizo apartments if possible.
Ahsanteni in Advance.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.