Aliwahi kuja tu siku ile inafunguliwa.Hivyo alikua anatumwa kumpelekea magazeti.Mbona sijamwelewa kama ilikuja siku moja aliendelea kupeleka wapi hayo magazeti?
Kabla ya kulaumu lazima ujiulize je huyo aliyegongwa ni mkazi wa Dar ambaye anajua maana hizo barabara isijekuwa ni mgeni amefika Dar jana leo ametumwa mjin hajawahi kuona lami kijijin kwao leo ukimwambia kuna barabara ya magari maalum na kiswahili hajui je atakuelewa vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.