Ondoa hofu maana ndio adui mkubwa wa afya zetu,fanya kazi zako kwa amani na muda ukifika nenda kacheki afya yako, Mungu ni wetu sote naamini atakukinga na hili kuwa na Imani kuu.
Na mara nyingi our weak link inakuwaga our right side, ndio maana huwa nafurahishwa ikipigwa double pivot ya macca na szobo maana anaenda kumkabia dogo upande wake
Kuhusu trent naungana na wewe mara nyingi huwa sifurahishwi na performances zake akiwa fb au kwenye inverted roles ana lack basics nyingi za defending as well as mid player he must thank God he is british player
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.