Wanachadema tusikubali kuondolewa kwenye hoja ya msingi ambayo ni mapambano ya kuhakikisha 2015 CCM inang'oka madarakani.
Wote wanaoita press conference na kutishia kuitisha maandamano ni vibaraka wa ccm na watakuja wengi kwa staili tofauti tofauti tuwe makini,tusonge mbele na mapambano mpaka...
Mungu atuepushe na balaa hii.Ila hakuna kumwachia huyo shehe Ponda.Wamezoea kushinikiza mtu atende uovu halafu wengine wanajitia kumsaidia.Sheria ichukue mkondo wake ndugu zake wakamdhamini si watu kuandamana mazoeaaaaa!
Mi nadhani serikali ichukue hatua kali sana dhidi ya watu hawa wachache wanaotaka kuchezea amani ya nchi yetu kwa kivuli cha dini.hakuna kulea ujinga watu wengine kujifanya wako juu ya sheria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.