Search results

  1. M

    Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

    Nakuunga mkono mia kwa mia
  2. M

    Vyombo vya Habari na Habari ya Prof. Lipumba kujiuzulu Uenyekiti CUF

    Watu wanasema ukiweka ccm na tofali watu wanchagua tofali. Kazi itaisha mapema kabla ya saa nane zitakuwa zimetosha tayari
  3. M

    Madiwani watatu Meru wajiunga CHADEMA

    Madiwani si walisha maliza muda wao?
  4. M

    Ni kipi kiwanja kikubwa cha mikutano Dar?

    Wana janvi nijuzeni tafadhali. Nimekuwa nikijiuliza ni kipi kiwanja kikubwa cha adhara chenye uwezo wa kukusanya umati mkubwa wa watu wakati wa matukio makubwa makubwa kama vile mikutano ya kisiasa hasa jijini Dar es Salaam? Achilia mbali viwanja vya mpira wa miguu, nataka kujua viwanja vya wazi...
  5. M

    Kwanini ITV haitangazi habari za ACT-Wazalendo?

    ACT MAENDELEO ndiyo naaani?
  6. M

    Lowassa Rais UKAWA, Mwenza - Slaa, Lipumba - Waziri Mkuu, Zitto naye ndani

    wewe hujii hata mgombea mwenza anapatikana vipi? Lazima atoke upande wa pili wa Jamuhuri ya Muungano wa Tz.
  7. M

    Kwanini Kikao Cha UKAWA hakina msisimko?

    Tulikuwa na shahuku ya kuangalia vituko, mizengwe, goli la mkono alilopigwa Lowasa na mabegi ya noti
  8. M

    Prof. Lipumba ajitosa urais UKAWA

    Hakika
  9. M

    Tutakutana Oktoba 2020-CHADEMA!

    Ha ha ha ha ha ha
  10. M

    Je, TBC hawaruhusiwi kusoma habari za CHADEMA?

    Hivi kumbe bado kuna watu wanatazama tbc? Labda tu kama hakuna namna nyingine ya kupata habari
  11. M

    Nikiangalia uso wa Tundu Lissu namsoma namna hii...

    Tundu Lisu ni jembe la kweli.Ni lulu ya taifa. God blesss you Sir.
  12. M

    Ushindi wa JK, Mangula na Membe ni Pigo takatifu kwa Lowassa

    Whatever the case, EL atakutana na Dr. Slaa kwenye mchuano wa mwisho. Kwa hiyo wadau tujipange uko upande gani? Kubali au usikubali juu yako. Pesa nyingi sana imeshatumika kutafuta nafasi kwa ajili ya EL. Amua sasa.
  13. M

    Tunaomba route ya TRENI: Pugu - Gongo la Mboto - Banana - Vingunguti hadi stesheni

    Asante kwa kuliona hilo kamanda, naunga mkono mia kwa mia.
  14. M

    Thomas Nyimbo, ajitoa CHADEMA!

    Bora watalii kuliko mafisadi.
  15. M

    Matokeo ya Uchaguzi wa Madiwani October 28, 2012

    Hizo ni salamu za 2015
  16. M

    Lowassa: Tutachukua jimbo la Arusha kama uchaguzi ukirudiwa!

    Hata mimi nimeshangazwa na hiyo habari, inaonekana mahakama imeshaingiliwa na mafisadi ndo maana wanajiandaa kwa uchaguzi.
  17. M

    Live Updates: Misa ya Maziko ya Kardinali Rugambwa kanisa la Kashozi - Bukoba

    Asante sana kwa taarifa. Tunamuombea kwa Mungu amulaze mahali peme peponi, Aaaaaaaaaaaamina.
  18. M

    Sikutamka kufutwa Chadema - Tendwa

    Amegwaya siyo?
Back
Top Bottom