Wana janvi nijuzeni tafadhali. Nimekuwa nikijiuliza ni kipi kiwanja kikubwa cha adhara chenye uwezo wa kukusanya umati mkubwa wa watu wakati wa matukio makubwa makubwa kama vile mikutano ya kisiasa hasa jijini Dar es Salaam? Achilia mbali viwanja vya mpira wa miguu, nataka kujua viwanja vya wazi...
Whatever the case, EL atakutana na Dr. Slaa kwenye mchuano wa mwisho. Kwa hiyo wadau tujipange uko upande gani? Kubali au usikubali juu yako. Pesa nyingi sana imeshatumika kutafuta nafasi kwa ajili ya EL. Amua sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.