Wazungu wamemuweka kwenye group ya mental disability, na anapata msaada kwa tatizo Hilo!! Sasa ndugu zangu tukianza mpaka watu wenye mental disability kuwaweka kwenye jukwaa la macelebrity itakuwa shughuli nzito hasaa!! Huyo ni mgonjwa wa akili!! In London watanzania wanamfahamu maarufu km Flora...
Ngwadakulima a.k.a ngwadakudig,jamani mnakumbuka woteee mbona makanyanga hamumkumbuki?au kwavile mswaki na kuoga kwake ulikuwa msamiati wa kichina?nasikia mwalim James yule wa Biology alikufaga nikweli au uzushi?
Na hivi mnatumia I'D za kujificha,jumlisha Na mitusi mliojaaliwa plus midomo michafu km vyoo vya soko mmmh bora asije! Sijui km kuna kipya atakachokisikia zaidi ya mitusi mipya!!
Basi afadhali mngekuwa mnajaribiana na hizo sex tu,sijui ndio eti mnapima kina cha maji,eti msije kuta kibamia au mguu Wa tembo yote ni sawaa!! Lakini vijana wasasa mnazidi jamani mnajazana na mimba kabisa then ndio mnatangaza ndoa Hivi Mbona mna tabia mbayaaa?? Mabiharusi wengiii siku hizi...
Nakumbuka mtoto wangu wakwanza almanusura anisababishie talaka,mume aling'ang'ania mtoto lazima aitwe MKEGANI ugomvi wake baada ya hapo Mungu ndio anajua,ila ndio hivyo tena mtoto mpaka Leo anaitwa MKEGANI
Ni ujinga mtu mzima kujamba mbele za watu Na ukijua wazi jana usiku ulikula miharage! Next time sogea pembeni maliza shughuli yako,inakeraaaa Kwakweli!!
Hahahahaaaa Alafu unakuta choo Na bafu viko tofauti Alafu haja imekushika sio mda Wa kuoga Kudadadeki lazima akili ikae sawa! Ingekuwa bafu Na choo viko pamoja ungepiga kanyaboya labda unaenda kuoga then unafanya double job! Then imagine ile Unatoka tu kukata gogo Na mwenyeji wako anaingia Alafu...
Niko namuangalia new celebrity Yule aliyerestisha watu in peace kwenye movie theatre last week!! Jamaa Yuko hoi anasinzia mahakamani Sasa najiuliza hawajampa hata nafasi ya kulala au ndio swaga zake tu! Ila Nimependa style yake ya nywele!!
Yaani huyu baba anasikitisha Maskini ya Mungu,anavyojibu yaani naionea huruma familia yake,eti kuna watoto wanamuita baba huyu Jamaniii!! Eeeh Mungu weee!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.