Maisha sio furaha tuu mdogo wangu. Kuna mengi yenye huzuni tunakutananayo lakini yanatupeleka kwenye furaha za kudumu. Usiwasikilize walioshindwa muombe Mungu akupe ufahamu wa kwanini wewe umeumbwa.
hongera sana kwa hatua hii ya kuomba ushauri ni hatua nzuri. Mungu anataka kukuonesha makosa yako. Tafadhali naomba ujipe muda ujifunze
1. Nini maana ya mwanaume.
2. Kwanini umezaliwa mwanaume.
3. Ujifunze kufikiri na kuamua kama mwanaume.
Uko sawa sana. Mimi ni mkatoliki na hili unalolisema nalielewa sana. Mambo yote yenye ushahabiano na nguvu ya Roho mtakatifu ni kama hayapewi nafasi katika kanisa letu. Mmoja alitangulia kuandika hapa miujiza haina maana. Sasa unajiuliza ni kwa namna gani utageuza mioyo ya wasio ifahamu nguvu ya...
Yohana 2:23
[23] Hata alipokuwapo Yerusalemu kwenye sikukuu wakati wa Pasaka, watu wengi waliamini jina lake, walipoziona ishara zake alizozifanya.
Kama ungeendelea kidogo katika somo tulilosoma leo ungekutana na huo mstari.
Ishara na miujiza inazalisha imani usibishe kitu usichokijua...
Mimi ilitokea kama kwa kijana wako. Binafsi sikurudishiwa fedha ilikuwa inakatwa kwenye matumizi ya direct cost miaka iliyobakia hadi mwishoni ikamalizikia chuoni japo nilikuwa nafuatilia sana. Mungu akubariki kwa kumshika kijana mkono. NB nilikuwa hapohapo udsm
Ninakushukuru Baba Bwana wa mbingu na nchi kwa maana umenikombea kwa damu yako ya thamani. Nikisoma mara zote mtu anapohadithia historia mbaya nyuma na kukiri kwamba amebadilika. Napata furaha sana kwa maana Mungu ananguvu sana ya kutubadilisha.
Mkuu Kiranga, nafahamu umewahi kuwa na majadiliano marefu kipindi cha nyuma. Hongera kwa kushikilia msimamo wako.
Unaufahamu kwamba mwanadamu anasehemu tatu nazo ni mwili, roho na nafsi? Kama sio mwanadamu kwako ni nini?
Bila Yesu yote hayo ni kujilisha upepo. Kuipa nafsi nguvu kuna kusaidia kuwa na maarifa ya kushindana kwenye kiwango cha chini sana sababu nguvu za giza zinapambania hiyohiyo nafsi yako. Mjue Yesu usogee kwenye eneo la juu ambalo ni kupambana kwenye ulimwengu wa rohoni. Usipokuwa na nguvu za...
Wewe unafanyaje online na kukamilisha mkuu??
Mimi naona nakatiza mwezi wa tatu huu bila mafanikio
Inaandika make final decision sasa sielewi itabaki hivyo hadi lini
Kwani Shida ya Brela huwa ni kitu gani yaani????
Status "Make final decision" mwezi mzima imeng'ang'ania hapo kila kitu kina simama kwa ajili ya hawa wapumbavu.
Simu hawapokei email hazijibiwa sasa hawa wanalipwa mshahara kwa kazi gani?
2 Samweli 18:1-33
[1] Kisha Daudi akawahesabu watu waliokuwa pamoja naye, akaweka maakida wa elfu elfu, na maakida wa mia mia juu yao. [2] Daudi akawapeleka hao watu vitani, theluthi moja chini ya mkono wa Yoabu, na theluthi ya pili chini ya mkono wa Abishai, mwana wa Seruya nduguye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.