nashindwa hata kuandika,yaan Mungu aturehemu kwakweli,yaan watu bado hata hawajasahau yaliyotokea wiki chache juu watu kukamatwa wakitoa damu!,leo hii mnajitokeza kimasomaso mnataka damu,sio bure,ile albadili imeanza kazi
wadau tayari nina tambaala kubwaaa,naomba msaada wa maneno mazuri ya kuyaandika kwenye hili bango,tayari kwaajili ya amsha amsha ya ukawa jangwani kesho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.