Enzi za kuvaliana Viatu zimekwisha,amalize muda wake akachukue mafao yake.yye na Viatu vyake wakapumzike kwa aman,huu ni utaratibu tulio jiwekea wenyewe nivyema kulinda heshma ya nchi kulko matakwa ya MTU mmoja.
Ili kuepuka habali zisizo za uhakika inawabdi TBC wawepo kila tukio.waliyo yafanya juz wanatakiwa kuomba radhi Mara 360,na walipe fidia ya Tsh.1(moja).watu tulirukaruka kwa Pongezi kemkem za rais wadunia kumbe hakuna ktu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.