Nashangaa sana Naibu waziri wa mawasiliano Mh Makamba akiibuka sasa kwa nguvu zote kujitetea na kulaumu wabunge wote kuwa walipitisha huo mswaada,Je umesahau kuwa ni wabunge wa CCM na washirika ndio mliopitisha huo Muswaada wa kodi?
Kwanini hukuishauri serikali kabla ya huo muswaada haujaja...
Ndg wana jamvi kwanza nianze kwa kuwatakia ndugu zangu wote walio kwenye mfungo ramadhani njema,sisi sote ni ndugu na kwa wale ambao hamjafunga muonyeshe ushirikiano kwa wenzenu ili tudumishe amani na mshikamano.
Nirudi kwenye mada, kwanza kwa wale wanafunzi wa form one ukimuuliza what is...
Tatizo la maccm ndio hilo mtu akisema ukweli ataitwa majina yote mabaya na kuwekwa kwenye makundi,nampongeza Dr chegeni kwa kuwa mzalendo na kusema kwa uwazi bila hofu,ni kiongoI shupavu asiye na makundi pamoja na maadui zake kumwandama lakini amesimamia kweli
Jana waziri wa habari,vijana,utamaduni,na michezo mh. Mkangara alisoma bajeti ya wizara yake lakini pesa za maendeleo ni milion mia sita tu wakati matumizi ya kawaida ni bilion Ishirini,
Hebu angalia wizara iliyobeba nguvu kazi ya taifa yaani vijana,weka habari,utamaduni bila kusahau michezo...
Ndg yangu katulanda sioni kwanini tujadili hili wakati vifo vyao havina walakini bali vyote vinatokea kama vifo vya kawaida,kungekuwa na walakini tungejikita kujadili lakini sasa hebu tujadili mustakabali wa taifa letu linalopoteza mwelekeo kila kukicha,tatizo nionalo mie tumekosa uzalendo ndio...
Nyoka,sijui chura hawawezi kushusha thamani ya pesa yetu bali kitu kinachosababisha ni demand kubwa ya pesa za kigeni kwaajili ya manunuzi nje bila kufanya mauzo mengi nje ndio yanasababisha pesa yetu ishuke thaamani,namshangaa Mh. Lusinde pamoja na kukaa jirani na mchumi wa first class bungeni...
Mh. Nkamia kamwambia Mh. Sugu kuwa yeye hazungumzi na Mbwa bali anazungumza na mwenye Mbwa, Mbunge mmoja kaomba mwongozo ili afute kauli,mh Nkamia kasema huyo anayeomba mwongozo hana uelewa kwahiyo hawezi kufanya hiyo,dah mwaka huu tutashuhudia mengi humu mjengoni,hebu wana jamvi tujadili je ni...
Baadae tutakuja kuambiwa hamna ushahidi wa kutosha kwenye suala hili hivyo wameifuta,hii nchi ya ajabu sana sijui tunapelekwa wapi na hawa watawala wetu
Akichangia ktk bajeti ya waziri mkuu kaanza kuponda Mh. Mbowe, Kasema kuna watu wana mimba zisizotarajiwa bungeni,anasema chadema wamepata pesa nje kufanya hayokama kawaida yake kaporomosha matusi na kusema eti wao waachiwe kazi hiyo kazi wao wanaimudu kupambana na wapinzani,kahamia kwenye pesa...
Kwanza unapojiita great thinker then unakuja na uzi wa namna hii kwanza wewe ndio unayewagawa watanzania sio chama kwani kila chama kinaendeshwa na katiba yake na misingi yake,hebu jaribu basi kuwa na uchungu na hii nchi na wajukuu zako wakija wakute kitu,wale waliokaa miaka zaidi ya 50...
Ndg Ritz kwanza huna data kamili juu ya hilo,hakuja mtoto wa Raila bali alikuja Bwana Omondi na rafiki yake tu,hakuna ubaya kuchangia elimu ili watoto wa maskini waweze kupata elimu bora kwani nyie pesa mnaenda kuzificha Uswis ili watoto wenu wasome huko wakati watoto wa maskini wakiendelea...
Mtu makini hawezi kufanya kosa la kijinga kama hilo kutojua Tanzania imetokana na nini bali anabaki kuropoka tuu kama mwendawazimu asiyejua afanyalo,mbona yeye alishindwa kujadili maendeleo na kuamua kufanya personal attack kwa Dr. wa ukweli?hakuwa na mada za maana kujadili dhidi ya taifa...
Wana jamvi Nape Nnauye kachemka vibaya baada ya kushindwa kutambua Tanzania ilitokana na muungano wa nchi zipi,katika post yake jioni hii kwenye facebook yake amesema kuwa wataendelea kuuenzi ungano wa Tanzania na Zanzibar kama maazimio yao ya chama,hivi kweli Tanzania iliungana na Zanzibar au...
Ndugu wanajamvi nilifikiri watu hawa wapo tu wizarani kumbe hata Bungeni wamo,Mh Kigwangala ameniacha hoi pale aliposhindwa hesabu za darasa la pili,hebu tazameni alichoweka kwenye wall yake ya facebookMpaka sasa CCM ina Kata 21, CDM 4, na TLP 1 kati ya 21 zenye uchaguzi mdogo! Hongera makomredi...
Hii ni kali sijawahi kuona,mwenyekiti wa ccm akiwaeleza vijana wa chama kuwa moja ya kanuni zao ni kushinda uchaguzi,hii imenipa wasiwasi sana na kufikiria mbali sana kwani wamekuwa wakitumia rasilimali na nguvu nyingi hasa chaguzi ndogo zinapotokea,ukweli leo umebainika lengo lao si kutatua...
Tulianza na watu kutekwa,vyombo vya habari vinavyotetea wananchi kunyanyaswa vikifungiwa,wananchi kuuawa kimnyama na then Malawi kuivimbia serikali yetu,yote hayo ni matukio ambayo serikali haikushtuka na sasa ni vikundi vya kihuni kuchoma nyumba za ibada lakini serikali yetu bado iko likizo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.