Mimi nashaangaa sana hivi yupo kweli aliyemsafi kwenye iyo system yao.....ilo la uchafu na ufisadi wa Lowassa ni kazi bure maana wote wachafu hata huyo sijui joka la mdimu sijui nani....
Ningekuwepo ningemnunulia dozen ingine ya iyo dawa na iyo ningeilipia....I feel bad.... For him to steal iyo dawa he has a big problem with money...mbu zinamla sana huko kwake masikini mwe....I don't even see it funny mpaka watu mnadai pic Yake tuhurumiane jamani kwenye haya maisha hatufanani...
Wamuadhibu kwa lipi wakati walimtuma wenyewe aseme vile....hivi nyinyi mnafikiria kwa kuongea vile Masele aliamua mwenyewe...katumwa na hao hao wakubwa zake,chezea CCM weye.....kuna kazi hapo, Yule kafanywa kafara tu Kama hujui.
Kah. Ndio maana wanasema kwenye familia yeyote mwanamke akiwa mchawi ..familia inakwisha...hata huruma Flo umekosa kwa mtu aliyekuzalisha mtoto lol....hebu ona aibu hata kama ni kweli iyo ni biblia gani unayosoma isiyoruhusu msamaha?Mungu atakuweka mahali Pako siku si nyingi..
Kwani huyu wambura jamani Ana kazi gani ingine maishani mwake?Samahani kwakuliza sababu ni muda mrefu anawekewa vizuizi lakini yuko tu analazimisha si awachie hiyo simba yao afanye yake tu...kwani asipogombea atakuwa je...abakie tu mwanachama kama wengine tu sasa.
Yaani hawa kazi yao kuona mabaya kutokea tu Hivi kama kweli watumishi wa Mungu wa ukweli kwanini wasiombee na kufunga ili kuzuia hayo mabaya?to hell Namaoni yake anataka tu wasanii wakimbilie kwake kuomba awaombee kifo kisiwakute...nawalivyo wahovyo some of them are going to buy this his lousy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.