Kind Wazo lako ni zuri mkuu,nami nilikuwa na wazo kama hili kwani kitendo cha kutokuwa na board kinasababisha watu wasio na taaluma hii kuingilia na kutothaminiwa,kitendo cha kuwa kwenye ERB ambayo yenyewe imejawa na wazee wasio na ujuzi wa hii fani so sidhani kama ERB ni msaada.Labda ICT...
bila shaka hilo lingewezekana iwapo dr slaa angekuwa rais coz vifaa vya ujenzi vingekuwa chini
piga mahesabu kuwa kwa sasa kila square mita moja laki 4,je we jengo lango litachukua square mita ngapi?
kama kila baada ya miezi miwili wanakaa siku 14 kwa mwaka watakaa siku 84 na kwa malipo ya dola 600 kwa siku hizo ni sawa na 84 *600=50400$==50400*1600tsh=80640000 hiyo tukijumlisha mshahara kwa mwaka(17000000*12)=(204000000) so jumla ya mapato ya mbunge kwa mwaka ni tsh 284,640,000 =na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.