Endeleeni na huu upumbavu wa kutajataja makabila. Mtakuja kuchinjana huko mbeleni shauri yenu.
Naona mauaji ya Rwanda na Kenya hamjajifunza. Hakuna Raisi amewahi kupendwa Tanzania hii toka enzi za mwalimu.
Acheni kufikiria matumbo yenu. Jengeni hoja za msingi zitakolisaidia taifa miaka 50 ijayo.
Siyo kutukana viongozi wa serikali kisa suruai yako ina viraka vyingi.
Taja makabila yanayofaa tujue mapema.
Hakuna kitu hatari katika taifa lolote Kama kubaguani.
Kwa mwandiko wako hata nyerere hakupaswa kupewa uraisi.
Siasa za Tz Kama huzijui unaeza ukawa unaandika utumbo
Kwa sisi tuliofutilia namna kikwete alivyosemwa vibaya enzi za utawala wake hadi Dr slaa...
Hizi ni kauli na kijinga na kipumbavu, Fikra Kama hizi zimejaa ubaguzi na umimi.
Watu smart na wanaojitambua hawatambuani kwa makabila/dini/Kanda au rangi.
Roho ya kibaguzi haina mpaka leo utawabagua Hawa kesho itarkuwa wale.
Suala la vifurushi kutatuliwa ni changa la macho, binafsi MB zinavoliwa sina hamu.
Halotel yangu ya sasa siyo ya zamani. kifurushi cha wiki kinakata kwa siku mbili zamani nilikuwa naenda hadi siku tano au sita kwa matumizi yaleyale.
Ama kweli kazi iendelee.
Kasome upya, Kama umetrade forex kwa discipline two years plus huwezi sema eti gambling.
Forex is the game of psychology ukiimaster emotions zako umewin
Mtaji Siyo issue Sana Kama una knowledge sahihi hata dola 500 Ni pesa nyingi Sana.
Hakuna daily profit kwenye forex so Kama huwezi kukaa siku...
Mimi huwa nasinzia kwenye Kochi kabla hata ya kufika kitandani.
Naweza hata kusahau kufunga mlango nikianguka kitandani sa5 mpaka 12.
Ushauri
1.tumia siku yako vizuri kwa
kufanya kazi
2.kuwa na ratiba ya mazoezi japo 30 min kila siku
He
3. Jenga mahusiano mazuri na watu wako wa karibu.
4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.