huo ndo ukweli kamanda ila wafuasi watapindisha maneno weee ili mradi mbowe aonekane hana hatia, kosa la zito na mbowe ni la aina moja!
they must all go........
wote ni wasaliti hakuna mwenye afadhali kuliko mwingne!
wenye akili zao bado wanamuhitaji ndani ya chama, ila wanywa gongo waliokaririshwa santuri ya usaliti ndo wenye matatizo - haishangazi kuona wanapofuliwa macho kwa mawe huko mahakamani!!
mleta mada naona uaanza kuwa msaliti muda c mrefu utamfuata zito - katiba yetu ibara ya 007 inasema ni MARUFUKU mtu yeyote kuhoji viongozi wakuu wa chama!
sasa we endelea tu..........
eti falsafa mpya cku hizi ya chadema ni mtu yeyote mwenye mawazo tofauti na uongozi ni either afukuzwe chamani (msaliti!) au apigwe!
hizi ni dalili za udikteta na ni dhahiri chadema itakuwa ngumu kupenya vijijini iliko ngome kuu ya maccm!.
na mbowe je? au yeye haguswi kwamba yuko juu ya katiba ya chama?!
haya mambo ya kibaguzi hatupendi kuona ndani ya chama - tunataka haki na usawa kwa wote!
alipokuwa mwanza mbowe alikaririwa akisema yeye hana bei na kwamba hata ccm wanajua hivyo, pia alisema ktk chadema hakuna aliye juu ya...
yeye ni kiongozi mkuu wa chama - tuhuma zozote haswa dhidi yake ni ishu, haijalishi zimefikaje ndani ya chama......vinginevyo atoe maelezo na vielelezo vya kina yeye mwenyewe ili kukanusha tuhuma!
mie kilichoniuma ni kudanganywa na kiongozi mkuu wa chama mbowe (sio mh!)...............kutuambia 'hata ccm wanajua kuwa hana bei' huku mwisho wa cku anakihujumu chama kwa kuuza majimbo, ukiondoa ushabiki - huu ni usaliti wa hali ya juu kabisa!!
kamanda acha kukariri - wengi tunachukia ccm ila bado tunamkubali zito hivyo tunapenda kuona haki na usawa ikitumika kumhukumu na sio chuki.
pia kwa sasa tuhuma zake kimsingi hazina tofauti na za mbowe - chama kinasemaje juu yake?! mbona kimya?!
wafuasi wa chadema wanafurahisha kweli kweli....................tuhuma zozote dhidi ya mbowe watapindisha maneno weeee ili mradi kujitoa tu ufahamu.
kimsingi kosa la zito halina tofauti na kosa la mbowe - ajabu mbowe yeye hataguswa na chama!
wadau wakisema chadema kuna ubaguzi mtajibu ni chuki...
kamanda hiyo nidhamu isiishie kwa zito tu...........kwa sasa kuna tuhuma mpya za mwenyekt ningefurahi kuona chama kiki-apply nidhamu dhidi yake ili kutenda haki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.