Sawa kabisa. Yeye ni mmoja wa watu wachache sana wakati huo aliyekuwa na line ya simu iya moja kwa moja kwa Mwalimu.
Sababu ya Mwalimu kumpenda ilisemekana kwamba Franken kwa kuwezeshwa na waumini wa ulaya ndiye aliyefadhili ujenzi wa chuo cha Kigurunyembe miaka ya 50s kwa thamani...
Pole kwa kumbukumbu
Wimbo huu sikuwahi kuuona kwenye cataloge ya ASL ndiyo maana inakuwa ngumu kupata mp3 yake. Hawa ASL ni kampuni ilyokuwa Kenya ambayo bendi nyingi za hapa kwetu zilienda kurekodi nyimbo zao miaka hiyo katika mfumo wa santuri.
RTD walirekodi huu wimbo katika mfumo wa kanda kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.