Search results

  1. I

    Tetesi: Chuki inaendelezwa - idadi ya wastaafu ambao hawajalipwa pensheni inaongezeka

    Inasikitisha mstaafu aliyestaafu na kulipwa 25% 2018 septemba mpaka leo hajalipwa 25% iliyobaki, Ukienda PSSF wanakushangaa, kwanini hujalipwa, sasa wapi tutaenda kudai? Mbaya zaidi leo unamkuta huyu siku nyingine mwingine, kwa kweli inakatisha tamaa, tunaomba tulipwe haki zetu
  2. I

    Tuwalaumu TRA ila tusisahau kua hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi Duniani

    Tra ni janga kwa kila moja, hakuna mtu ambaye amenunua kitu bila kujeruhiwa na tra
  3. I

    PSSSF Yatumia Bilioni 880 Kulipa Mafao

    Ni rahisi kuongea lakini no action taken, nimestaafu disemba mpk sasa napambana na hali yangu, huyu anadai tumelipwa, aeleze ni wasaafu wa toka lini amelipa. Anyway he or she will also retire one day
  4. I

    Mkuu wa Mkoa wa Iringa ameelekeza kuwa makundi yafuatayo yote yanatakiwa kuwa na kitambulisho cha mjasiriamali

    Ni vision nzuri, ila iwekwe wazi kuwa kodi ya kichwa inamhusu kila moja ktk taifa letu kwa kila aliyetimiza umri wa kutafuta riziki kwa hali hii sasa
  5. I

    Leo ni tarehe 27 / 05 /2019 nssf bado inaokoteza hela ili iwalipe wastaafu malipo ya mwezi!

    Mm nimestafu toka disemba mwaka jana yaani cjui hata pakujiokoa kila mwezi ni kuambiwa subiri isiyoisha, nimeomba nauli ya kurudi kwetu naambiwa serikali haina hela kwa sasa kustaafu ni shida, ila hawa wanaotunyanyasa ss wazee wajue na wao ni wastaafu wa kesho
  6. I

    Mbunge Jumanne Kishimba (CCM) ataka kilimo cha bangi kuhalalishwa nchini Tanzania

    tuna mazao mengi yanayozalisha kiuchumi why bangi? tukiruhusu bangi kulimwa kihoholela ni mwanzo wa kuharibu vijana wetu.
  7. I

    Hatari cheti feki wanarudishwa kazini

    Hili jambo bado lina ukakasi, unakuta mtu darasa la saba kapitia mgambo na kuhitimu vizuri kama askari Mgambo na serkali iliwafundisha kwa nia njema, leo kwa kuwa hana cheti cha form iv amefukuzwa kazi, lakini hawa mgambo ni wa muhimu, nashauri waliokuwa mgambo wangefikriiwa kwa kurejeshwa kazini.
  8. I

    Hakika inasikitisha kuwaona Wazee wetu Wastaafu wakihangaika na maisha kutokana na Serikali kutowalipa Mafao

    Aliyeshiba hajui mwenye njaa, hata nauli ya kurudi kijijini ni shida, na mei mosi hiyo sijui hawa viongozi wa vyama vyetu
  9. I

    Serikali walipeni "Mafao yao Wastaafu". Ni miezi 9 sasa toka wamestaafu

    kweli wastaafu ktk nchi hii tuna hali ngumu sana, hatuna mtetezi labda tuseme aliyeshiba hajui mwenye njaa.
  10. I

    Mifuko ya PSSSF na NSSF, walipeni Wastaafu Mafao yao, au hadi tuandamane?

    Yaani hii mifuko ni kero kwa kweli, kwa wastaafu unakaa zaidi ya miezi mitatu bila kulipwa. Sijui ni lini nchi hii mstaafu ataheshimika, tunaomba mafao yetu yalipwe kwa 50 percent
  11. I

    Je, Traffic check Points ni Revenue Collection Centers?

    Ni ukweli usiona na mashaka serikali inapoteza hela nyingi sana na kuneemesha police, mfano magari ya masafa yanayotoka dar to arusha na mwanza moshi, yanapofika arusha jioni hupakia abiria wa moshi kwa nauli ya sh 3000/= pasipo kutoa tiketi na kuna check point usa river na boma kwa wasomali...
  12. I

    Mifuko ya PSSSF NA NSSF walipeni wastaafu mafao yao

    Is so sad to explain how we are suffering after several yrs of service, ukienda pspf majibu unayopewa wale vijana unatani utoke na dirisha
  13. I

    Malipo ya Mafao ya wastaafu bado ni kero

    Nimesikitishwa na jinsi mtumishi aliyestaafu kuanzia mwezi wa 8 mwaka jana kutolipwa stahiki zake kama ilivyoagizwa na Mh Rais wetu, badala yake mafaao yanalipwa kwa kikokoteo cha 25%. Na ukifutilia kwa mfuko husika mafano PSPF unapewa majibu ya mkato eti andika barua kwa mwajiri. tuanomba...
  14. I

    Mafao ya wastaafu bado ni kero

    Mafao ya wastaafu bado ni kero licha ya Mh Rais kutangaza kuwa amebatilisha asilimia 25, lakini cha kushangaza mstaafu aliyestaafu kuanzia mwezi wa 8, 2018 bado analipwa aslimia 25, Na malipo badala ya kulipwa kwa hundi yanaingizwa moja kwa moja kwenye banki husika , na ukienda kwenye mfuko...
  15. I

    Bundi aingia ndani ya ukumbi wa Bunge leo asubuhi

    Bundi ni ndege mwenye kuashiria mabaya ktk mila zetu, lkn kama hajalia hana neno
  16. I

    Mkuu wa Mkoa wa Singida awaita watumishi wa umma kuandamana kupongeza maamuzi ya Rais Magufuli juu ya kikokotoo

    Hivi ctuliambiwa hapa ni kazi tuu, na hakuna maandamano tena inakuwaje tena?
  17. I

    Acheni siasa; TUGHE, NUMET, TUCTA, RAAWU, TUIKO, CWT, CHODAWU; mkowapi?

    Viongozi wote wa vyama hivi ni wabinafsi hawana msaada
  18. I

    Tulivyojiingiza chaka kwenye vita bandia ya Ushoga... Gharama yake hatuiwezi hivyo tujitoe haraka.

    Ni somo nzuri sana, hakuna mtu mweye akili anayependa kusikia neno shoga, lkn ni kweli kuwa mambo hayo yalikwepo ktk baadhi ya jamii zetu, na zilikuwa zinapigwa vita kisirisiri bila kujitangaza maana sio maadili yetu. Sasa hapo tulipotangazia ulimwengu ndo tulipokosea. Kwa hiyo wakati mwingine...
Back
Top Bottom