Kabla ya kukushauri vifaa vya kununua ni bora ukaenda kwa District/Regional Medical Laboratory Technologist akague eneo akuruhusu kufungua, pia atakupa ushauri. Ili baadae wasijekukufungie.
Nilibahatika kufanya kazi na wamarekani kwa miaka 5, ilinichukua mda mrefu kugundua mabosi wangu wa 2 kutoka marekani kuwa ni ma-professors baada kusomasoma papers mbalimbali walizoziandika. So wenzetu kwao hawapendi kutumia sana kwa kuanza na Dr.Pro. ktk majina yao, ukikuta anatumia some time...
Plot inauzwa ya kujenga nyumba, ipo maeneo ya Kongowe Kilungure.
Bei maelewano, na ruksa kwenda kuiona na kujiridhisha kama ipo fresh na salama.
Contact 0753820584.
Nahisi mnazungumzia Equity bank, ni bank hasa imetokea Kenya na sasa imeanza kuenea Tanzania na nchi nyingine. sijajua wanatreat vipi staffs wao ila ndugu yangu mmoja aliwahi kufanya kazi huko miaka ya nyuma.
kiwanja kipo maeneo ya Kongowe(Mbagala) maeneo ya Kilungule hakijapimwa ila kipo salama,
Kipo katika slope ya wastani, atakayekihitaji anakaribishwa kwenda kukiona na kutadhimini kabla ya kununua.
Bei million 2 ila mazungumzo yanakaribishwa.
0753820584 kwa mawasiliano.
nilimaanisha 25x25, gari inafika, kwa gari ndogo(Saloon Car) haiwezi kufika kwa karibu sana coz barabara haipo ok, kuzunguka kiwanja kuna watu wanajenga so kuna magari yanaleta mchanga mpaka hapo. Bora ukikiona then utaamua vizuri hapa unaweza husipate picha kamili.
Jamani Wachumba wamitandaoni kwa kweli sina uhakikanao, mimi yaliyonikuta sio madogo ndugu zangu, wengi hawafai, unaweza kuingia mkenge ukajutia maishani, watu wana tabia na malengo mbalimbali, kuna washirikina, wachawi, majambazi, malaya nk. unajua mchumba kuna uwezekano akaja kuwa mke au mume...
Nakushauri tafuta kazi jijenge kwanza ndipo upate huyo mwanamke mwenye fedha, yahani unataka kuoa mwenye hela wakati wewe huna hela, utapata shida ndugu yangu uje ufe kwa magonjwa ya bp na kiharusi, mimi nina experiance na hilo, kama unataka uwe na amani,mwanamke hasikuzidi pesa na elimu. You...
VIWANJA VYA KUJENGA VIPO MAENEO YA KILUNGULE KONGOWE.
BEI NI MAELEWANO.
WASILIANA NA MIMI MUHUSIKA UPATE KWA BEI NAFUU KULIKO KUPITIA KWA DALALI.
MAWASILIANO. 0753820584 au 0713135070.
Sio lazima kiwanja kikae sahizi sawa na uwanja, cha kufanya wewe kama una kihitaji seriously wewe nikuja kukiona na kutathimini coz hakuna ambaye yupo tayari kutupa hela yake, na documents za kiwanja utaziona, utapelekwa kwa mwenyekiti wa mtaa wa Kilungule ili kujua kama kweli ni kiwanja halali...
kiwanja kinauzwa kwa pei poa kabisa, kipo Kongowe ya Dar es salaam maeneo ya Kilungule.
kwa mawasiliano tumia namba 0753820584 au 0713135070.
Bei ni 2.2M. Bora ukawasiliana na mimi kuliko madalali, watakuwekea cha juu.
KARIBUNI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.