Katika vitu ambavyo hua nashangaa! Jaribu kumuonea huruma muweke ndani na mwanae umlee! Mwaka mmoja anakugeuka anaanza kukupelekesha aiseee wanawake!....
Kama ilikua inatembea chini ya 380 utapata tabu sana! Hizo pump maximum 415 minimum 380. Chini ya hapo zinatembelea low voltage.hivo which current should be high!. Ongea na tanesco wa solve transformer ilio karibu na wewe. Tatizo litakwisha.otherwise nunua genset upate volt sahihi. Lakini suala...
Uko wapi mkuu ? Niko bize kidogo ila mi mtaalamu wa hayo mambo.
1. Uliza mafundi walifunga water level sensor/switch?
2.umeme gani unatumia? Haupandi na kushuka.na unadhibitije.
3.pampu baadhi zinakubali kusukika mitaani.
Binafsi namshukuru mungu malipo ya maaskali polisi anawalipa wengi wao anawalipa hapahapa duniani! Hata wadhulumu vipi hawatoboi. Na wakibahatika kustafu ukiwa unawatesa maana hawajui hata kuishi na jamii
Ni kweli. Kimbunga tornado kikianzia baharini ni kikubwa kiasi maji husimama wima nakuzunguka cyclonically .maji husimama wima kama unavoona vumbi na upepo nchi kavu. Kikipita kama mwanza mathalani kikapita ziwani Yale maji huinuka na samaki mule ndani kinauwezo kutembea nayo umbali kadhaa hadi...
Surface pump/booster ndio hizo unazoona zinakaa juu maji yanakua chini.zinauwezo wa kusukuma maji umbali mrefu lakini si kunyonya.Hivo kama maji yako karibu kama maji ya ziwa,mto au kisima kifupi si zaidi ya mita saba. Zinafanya kazi vizuri.hizi ni pump ambazo zimefungwa na engine au motor na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.