kuifufua ATCL ni rahisi sana haitaji kuomba msaada kutoka nje wala partner nje ya nchi.chukua NSSF,PPF,TBL,TTCL na mashirika au idara nyingine za serikali ziinvest heavy ikianza kufanya vizuri u flip it na unauza shares kwa watz so investors wanarudishiwa hela yao na profit juu hivyo ndio kenya...
ww hauna akili kabisa au kipofu.diddy is worth $ 400 mil na jay z ni $350 mil sasa hawajawapita tu.halafu hawana assets kama za bakhressa,mengi na wengine.THINK BEFORE YOU TALk
Jamani nssf wapo poa.according to the research by audit firm,inasema nssf wanaweza kujiendesha miaka 15 bila kupokea michango kwa wanachama na kuwalipa bila kufilisika.halafu leo hii unasema wamefilisika.nssf cyo serikali ya bongo na uwekezaji wao una manufaa kwa watz cyo ccm.
So what kama obama ameenda?kutoka DC hadi brazil ni km kutoka Dar hadi Pretoria.Obama akisafiri am sure he doesn't use more thatn $ 100,000(150mil) kwenda brazil.mheshimiwa anatumia 300mil ka nchi kenye uchumi mbovu. huu ungwana kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.