Napangisha nyumba -Apartment.Ipo Tabata Sigara ghorofa ya pili Block B
Ina vyumba 2 vina makabati ya ukutani,choo & bafu, sebule & sehemu ya kulia,jiko,stoo,balcony 2,maji yapo na ulinzi.
kwa maelezo zaidi , piga 0786 812078
Ni kampuni ya kuaminika na wana magari mazuri. Mimi pia ni mteja wao ,nimenunua magari mawili ,yalikuja na hali nzuri sijapata usumbufu. Muda kwa order ni kama wiki 3 hivi mali inafika bandarini. Kwa bei wako juu, ila ubora ulinifanya nirudi tena kwao.
Mkuu ,ununuzi wa hiza wasiliana na stock brokers waliyosajiliwa na Dar es salaam stock exchange kama Tanzania securities ,Orbit ,Rasilimali,Vertex,Zan securities watakusaidia taratibu za kufuata ili uweze kununua hisa.Ila hizo hisa unazozihitaji(za TCC na TBL) ni ngumu kuzipata sokoni.Labda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.