mkuu ni kweli umeme ni muhimu kuwe shulni ila sia zaidi ya walimu na zana za kufundishia,kama kutakwa na umeme hno walimu ,no vitabu then no izo kazi unazozungumzia labda uchai simu
Salaam wakuu.
Laptop yangu ina parttion 4,drive C nimewka OS ya W7,D na documents E nimeformat nataka kuistall window server ila nikifika sehemu ya kuchagua drive yakuistall naziona drive Can D tu, E na G sizioni hivyo kafanya nishinwe kuweistall Wserver, wakuu tatizo linawea kuwa ni nini...
Wakuu salaam:
Wakuu,laptop yangu ina partion nne (4) Drive(C) niwemeka OS ya W7,D kuna documents E iko empty na ndiko ninakotaka kuistall Wserver2008 then G pia ina doc,Tatizo linakuja pale ninafika shehemu ya kuchagua drive ya kuistall window naziona drive C na D drive E na G hazionekani...
WANA JF,SALAAM
Naomba mnisadie namna ya kupata foldes zilizojifica ktk flash naona files tu folders sizioni ila flash inaonesa imejaa,Nawasubiri na asanteni
WANA JF,SALAAM
Naomba mnisadie namna ya kupata foldes zilizojifica ktk flash naona files tu folders sizioni ila flash inaonesa imejaa,Nawasubiri na asanteni
Salaam wana JF:
Nimeistall 3 mobie Broadband ktk PC yangu kwa ajili ya kuconnect internet kwa kutumia
modem inyotumia SIM card.Sasa nikipigiwa simu software inarespond na inatoamlio wa kuita,shida inakuja ninapopokea simu sisikii sauti ya upamde wa pili nifanyaje Ili niweze kuwa Napata...
Salaam wakuu:
Nimeistall 3 mobile Broadband software ktk PC yangu kwa ajili ya internet connection kwa kutumia modem inayotumia SIM card.Huwa nikipigiwa simu hii software ina sense na inprovide sauti ila nikipokea sipati mawasilia (sisikii sauti ya anaenipigia),nifanyajeili niee kuwa Napata...
wakuu kwa soko la ajira la sasa masters ni muhimu kuwa nayo kama added advantage,ninachjua mimi ni kuwa serikari,makampuni binafsi na other goverment agencies huwa wanaspecify minimum qualification kama ni dip,degree or masters so kwa ANAWEZA KUUNGANISHA BINAFSI naona ni better tu kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.