Search results

  1. N

    Mapendekezo kuhusu maboresho ya Haki Jinai

    Nawasalimu wote, Nianze kwa kumpongeza mheshimiwa Rais SSH kwa hatua anazochukua kuleta maboresho katika mfumo wa "Haki-Jinai", katika hili nimeona ana nia ya dhati kuleta mabadiliko chanya. Nikiwa mhanga wa mfumo uliopo wa haki jinai nimeshuhudia mabadiliko kadhaa yaliyoanza kufanyika ikiwemo...
  2. N

    Mdude Nyagali na lugha yake ya kiukosoaji katika mitandao ya kijamii

    Write your reply...Kwa hiyo lugha hizo adhabu yake ni kutekwa, kuteswa na kuuwawa kama mnyama?
  3. N

    Mwafrika na Uongozi

    Nikiwa mwafrika nimekuwa nikitazwa sana na namna waafrika tumekuwa tukifanya mambo yetu: kisiasa, kiuchumi, kisayansi n.k. Kwa wasomaji wa historia watakumbuka mojawapo ya "excuse" ya wazungu kutawala Afrika (Kwa njia ya ukoloni) ilikuwa ni kwamba sisi hatuwezi kujitawala wenyewe na kwamba...
  4. N

    Najuta kupiga kura 2015, sitokaa nipige kura tena

    winners never quit, quiterrs never win. Kina Mandela wangekata tamaa apartheid ingeendelea kuwepo; mazingira ya kukata tamaa yalikuwepo lakini hawaku-give in. Soma " Long walk to Freedom" by Nelson Mandela
  5. N

    Kangi Lugola is the flop of the meeting

    Watu wengi hawajui maana ya "Escrow Account". Kwa mujibu wa mikataba ya kimataifa kunapokuwa na mgogoro kati ya parties zenye mkataba, hii account hufunguliwa na pesa huwekwa humo (kwa mujibu wa mkataba) lakini haziendi moja kwa moja kwa mlipwaji pending mgogoro kuamuliwa. Sasa maamuzi...
  6. N

    ZZK Masters strategist

    Nilikuwa natafakari nia ya kina ZZK kuanzisha ACT nikagundua siri iliyo wazi huyu jamaa baada "kuonja utamu wa CCM" na kushtukiwa na makamanda akachekecha akaona akienda CCM mrija utakatika (Refer kina Kaborou, Shonza et. al). Akaona ili aendelee kuvuta atengeze kamrija kengine (kwa kuendelea...
  7. N

    Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

    Tatizo la wabongo hatujui kusoma between the lines. Kitila hakutetea ushoga lakini ameonesha wasiwasi wa ubavu wa sisi waafrika kutetea misimamo yetu ilhali tunategemea misaada. Mizungu inakuja inapoara mali zetu, viongozi wanakwapua mali za umma leo tuna nusu karne na zaidi bado tunapanda ndege...
  8. N

    Tanzania: The Legacy of President Jakaya Kikwete (2005-2015)

    Ndugu Tony acha kutoa mapovu, suala la kitaifa ni suala nyeti, ni mustakabali wa kizazi kilichopo na vizazi vijavyo. Taifa ni kitu endelevu huwezi ukasema tuache kujadili issue ya kitaifa kwa kuwa tulijadili jana. Kama ambavyo watu hawaachi kwenda makanisani na misikitini kwa kuwa huko wanaamini...
  9. N

    Tanzania: The Legacy of President Jakaya Kikwete (2005-2015)

    Tujadiliane: Nini Legacy ya Kikwete?Wanajanvi, Tuache unazi, tuwe wakweli kwa nafsi zetu na taifa letu. Pia tusukumwe na upendo ya nchi yetu. Nyerere aliweka misingi ya taifa (umoja, amani na uzalendo) , pia aliainisha maadui wakuu wa taifa letu yaani; umasikini, maradhi na ujinga. Kadhalika...
  10. N

    Tanzania: The Legacy of President Jakaya Kikwete (2005-2015)

    Wanajanvi, Tuache unazi, tuwe wakweli kwa nafsi zetu na taifa letu. Pia tusukumwe na upendo ya nchi yetu. Nyerere aliweka misingi ya taifa (umoja, amani na uzalendo) , pia aliainisha maadui wakuu wa taifa letu yaani; umasikini, maradhi na ujinga. Kadhalika alitabanaisha nyenzo za kujikwamua...
  11. N

    Halima Mdee: Mtaji wako nini hasa? Kawe maendeleo yamedorora miaka mitano sasa

    Wanawapaga ahadi kwa sababu ndizo mnapenda kuambiwa. Ni kama mwanamke ni lazima umndanganye ili umpate. Halafu nyie mazuzu wa Mbezi kura zenyewe hampigi mnatuma ma-House girl kwa kujafanya kwenu "bize" mnajifanya mnazo sana sasa mnalalamika nini. Ndio maana Rita Mlaki alikuwa anawapa vidonge...
  12. N

    Edward Lowassa atangaza rasmi mbio zake za urais 2015...

    Aristotle (Mwanafalsafa) aliwahi kusema kiongozi mzuri ni yule ni mtu anaendelea na shughuli zake lakini watu wanamuona uwezo wake, wanampa uongozi. Baada ya muda wake wa uongozi kuisha anarudi kwenye shughuli zake. Mwalimu Nyerere pia alisema ukimuona mtu anatumia pesa nyingi kutafuta uongozi...
  13. N

    Matokeo 'hasi' ya kumtimua Zitto ni haya; Mbowe & Slaa mnaua chama

    Ndugu asante kwa analysis yako, lakini bado haijakamilika kwani hujaonesha matokeo chanya ila tukabalance. Otherwise umekuwa too biased.
  14. N

    Sitta Amvaa Kapuya, Lowassa

    Usiwe juha hii nchi siyo ya Lowassa ni watanzania. Hivi hayo mabilioni anayotoa na "Marafiki" zake ni kwa sababu ya upendo kwa watanzania kweli? Tujiandae kuzilipa kwa gharama kubwa!
  15. N

    Sitta Amvaa Kapuya, Lowassa

    Watanzania wengi tulivyo wavivu wa kufikiri na kusumbuliwa na njaa tuko tayari kuuza BIRTHRIGHTS zetu na kuyachagua MAJAMBAZI kutuongoza. Huhitaji kujua ya kwamba mtu anayenunua uongozi cheo chake atakifanya biashara. Tujiandae kuiweka nchi rehani!
  16. N

    TAMKO rasmi la Ndugu Zitto Z. Kabwe kuhusiana na kinachoitwa "Taarifa ya Siri ya CHADEMA"

    Hebu tupe address yako tuje tukupe haja ya moyo wako
  17. N

    Serikali iyashughulikie madai ya Waislamu

    Ndugu zangu waislam naomba mnisaidie kwa kuorozedha madai yenu, hususani yale ya msingi
  18. N

    Islamic Movement in Tanzania

    Tedo, Umesoma paper yenyewe ukapata maudhui ? (Au ndio yale yale-If you want to hide something from an African put it in the Book!)
  19. N

    Islamic Movement in Tanzania

    Great thinkers, Nimebahatika kuaccess attached article, nimeipitia critically nikaona ina maswali na majibu mengi kuhusu msigano wa kidini katika nchi yetu. Nawapeni changamoto muisome between the lines ili kuona ni wapi tumeteleza, wapi tunaweza kuinuka na wapi tunaweza kuanguka kama taifa...
Back
Top Bottom