El-Toro, Albert n Lemmy poleni sana. Hapo awali nisema humu ndani na yote yaliyosemwa juu ya Nyaga mabaya husuni kifo chake. Wallah Mwenyezi Mungu ndiyo anaye jua lakini kama kuna mkono wa mtu katika hili kisa tu ni mafanikio yake, damu ya mtu italia juu yake hata kuwa na amani hata kidogo...
Baba yake anaitwa Advocate Juma Sawaya Mawalla. Sasa huko usukumani Sawaya imetoka wapi??? eti mmesoma wote ongeeni yaliyo kweli msituletee uwongo humu
Mtanga take five. Yaani nimesoma tangu mwanzo hakuna alieongea la maana kama wewe. Hata mimi naamini kabisa HIYO NI SHAKIZI. Huwezi kuniambia eti amekosa counselling ya ugonjwa aliokuwa nao nani hapi kati yetu anajua kuwa alikuwa na ugonjwa gani!!??
Achaliambali hiyo alikuwa na pesa ya...
Natalia, hiyo 2million mbana ni nyingi tu. Unataka aachike uende wewe ukatumie hiyo millioni 2?? Sidhani kutupa vitu nje itakuwa ndiyo solution ya wao kuishi kwa amani. Ingalikuwa ni mama yako ameenda kwa kaka yako je ungalimshauri wifi yako atupe vitu vya mama yako nje. jamani tuwe tunatoa...
Jamani Chai Chungu mbona unakuwa hivyo lakini unawapa watu matumbo joto halafu unaingia mtini. Siyo vizuri hata kidogo. Huna tofauti na Eric Shigongo kwa kweli hadi inakatisha tamaa kusubiri.:A S angry::bowl:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.