Ninavojua mimi mitihani inayotolewa na NECTA inatungwa na walimu waliopo mashuleni na walimu haohao ndo wanaosahihisha mitihani hiyo. NECTA wao wanasimamia tu uendeshaji wa mitihani hiyo. Kwahiyo kuinyoshea kidole NECTA ni kuionea bila sababu. Walimu ndo wanajibu la kufeli kwa wanafunzi...
Tusubiri kiama kingine cha matokeo ya form 2. Hapo watachukuliwa hadi watakao pata wastani wa 15.
Magamba wameshindwa kusimamia mfumo wa elimu Tanzania
2015. Walimu wote wa nchi hii tuungane kuitokomeza serikali hii dhalimu ya si si e mu. Walimu tulitoa machozi pale mahakama kupitia kwa jk ilipobatilisha mgomo wetu. Machozi yale yawe ni kielelezo cha maji ya kuisafisha nchi hii. Ameeeeeeeeeeeeeen!
Inauma sana, fidia yetu kwa wanafunzi ni kuongeza idadi ya zero, nothing else hatujapewa chochote ktk madai yetu na hatutatoa chochote kwa wanafunzi. Very sorry for the new genaration ndo serikali yao imeamua hivyo.
Halafu leo nimemsikia waziri wa elimu akilidanganya bunge kuwa walimu wanadai nyongeza ya mshahara na allowance za mazingira magumu nk. Madeni ya malimbikizo na uhamisho na mengineyo yameshalipwa. Huo ni uongo kwani hata mimi ni mwalimu na ninadai malimbikizo yangu pamoja na walimu wengine...
Kama mahakama imesema saa 48 zililikuwa siku za weekend, wamesahau kama mahakama hiyo hiyo ilifanya kazi siku ya jumapili ktk kuuzuia ule mgomo wa walimu wa kwanza? kwa maana hiyo lile pingamizi la siku ya jumapili lilikuwa BATILI.
ATN & UBC wote matapeli, wametukosha kuona burudani leo. Hata jana ATN kwa nini waliishia kutuonesha mechi moja?
wao si walijifanya vidume wa kuonesha kandanda, wavunje vipindi vyao watu tuone kabumbu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.