km tunaanza kuangalia tume ya katiba kwa mtazamo huo vilevile tuangalie muundo wa uongozi wa kada zote kuanzia juu hadi chni na liingizwe kwenye katiba mpya!
mbona hatujaingia kwenye vita wakati wa mkapa? alikuwa makamu wa rahisi tu ebu tuangalie ma chancelor, vc, wakuu wa vitivo vya vyuo vya umma hisipokuwa udom hata hvyo inawauma pu.m.b.a.f.u!, ebu tuangalie wakurugenz wotw
mnyika mdogo wangu husijifanye ww una akili sana huyo ndo mwasisi na amekianzisha chama kwa misingi hyo ww unakwepa nini na ndio hata muundo wa uongozi chadema unajieleza wenyewe! chadema sas hv tunaijua in and out!
sio muda uliwadia hacheni kumshirikisha mungu na mambo yenu ya kibaguzi. mnajifanya mnaongeleo siasa na mabadiliko kumbe mna mambo yenu nyuma ya pazia tumewashtukia
pengo hawezi tena kumuunga mkono EL sio kondoo wake na anaona kondoo zake magwanda wana muelekeo mzuri kwa nn hasi wasapoti ili waingie magogoni waanze kuponda tena si unajua wanalikizo ya miaka 10!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.