Search results

  1. M

    Madaktari kama kweli ni wazalendo tupeni mbadala na sisi walala hoi

    Nakubaliana na mleta mada kwani hili ni suala muhimu sana. Kwa hali ilivyo sasa sioni uwezekano wa madaktari peke yao kutoa tamko kwamba wanarudi kazini. Suala hili linahusisha pande mbili Serikali na Madaktari. Tatizo ninaloliona ni serikali kuamua kufunga uwezekano wa majadiliano kwa...
  2. M

    Changia chochote kuokoa maisha ya doctor ulimboka

    Ni mchango wa hiari. Wewe kama huhitaji kuchangia nyamaza kimya. Hatuko hapa kujadili yeye amechangia nini kwa wengine. Usihukumu kwani wewe nawe utahukumiwa.
  3. M

    Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

    Nashauri watu wanapoanzisha mada yoyote waweke 'titles' zinazobeba ujumbe uliopo na siyo kujaribu kuvuta hisia. Tusimwumbie daktari hisia na hofu zetu. Tuache madaktari wanaomtibu ndiyo waeleze maendeleo ya mgonjwa na siyo kila mtu kurusha hewani kitu anachohisi au kuwaza. Iwapo tunaamini ukuu...
  4. M

    Ujumbe huu umufikie mwenyekiti wa kambi ya upinzani Mh MBOWE

    Nashauri suala hili lisipelekwe kisiasa. Tangazo litolewe kwenye vyombo vya habari kama ambavyo tayari imekwisha fanyika. Mchago upatikane katika misingi ya hiari na upendo tu. Watu wasijaribu kujinufaisha kupitia suala hili. Tuepuke agenda za siri.
  5. M

    Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

    Mahakama inaingiliwa pale jambo hili linatakiwa kujadiliwa bungeni ili ushauri sahihi upatikane. Kutoa maamuzi na kuyatekeleza kabla mahakama haijahukumu hakuiningilii mahakama. Hayo ni maajabu! Bunge iliunda kamati kufuatilia jambo hili, lakini bunge hilo hilo halipaswi kupokea taarifa ya...
  6. M

    Dr. Ulimboka Kutema Cheche

    Mada hii ni tishio kwa adui za daktari huyu shujaa. Inabidi kuwa makini sana ili adui zake wasisababishe madhara zaidi kwake!
  7. M

    Mbinu chafu za serikali kuficha ukweli juu ya Dr. Ulimboka

    Kuna siku Mungu atapatiliza uovu wote unaofanyika hata sirini. Mungu awanusuru hao wanaotaka kutolewa kafara ili kuuficha ukweli. Haki na kweli ya Mungu itawale katika taifa letu!
  8. M

    Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

    Tuwaombee madaktari wanaomhudumia ili Mungu awape hekima na maarifa katika kushiriki kazi ya Mungu wapate kuokoa maisha ya huyu jemedari. Tuongeze maombi kwa ajili ya Dr. Ulimboka, mkono wa Mungu wa uponyaji uwe juu yake. Kwa Mungu hakuna lisilowezekana! Tusikate tamaa.
  9. M

    Mei Mosi 2012: JK akasirishwa na utafunaji wa pesa za umma, wahusika kukiona...

    Nimefurahishwa sana na mikakati ya JK kuimarisha ukaguzi wa mahesabu ya Serikali na kwa kuweka kila kitu wazi. Naamini hili litasonga mbele, na wahusika wataendelea kuifanya kazi yao kwa uadilifu na umakini. Ila bado sijaelewa kama waziri mkuu hakuijua mikakati hii ili kuweza kutoa ufafanuzi huo...
  10. M

    Kutoka Bungeni - Jumamosi 21, Aprili 2012 (Videos)

    Duh...nchi kweli inapita kwenye changamoto nzito...tuendelee kuomba mungu aachilie hekima yake na maongozi yake
Back
Top Bottom