hili ni tatizo la uelewa,mimi naunga mkono sera ya CDM kwasababu tunalipa kodi iwe moja kwa moja au VAT,hivyo serikali ijenge shule na zahanati kama haiwezi iondoke.
inauma sana.wanajifunza kulenga shabaha,wana bastola halafu wanapombe? ila hii ndio bongo,hukawii kusikia ameua bila kukusuda faini laki sita au jela mwaka mmja,kisha analipa laki moja na mchezo unaisha
mimi siwezi kufurahi eti tumekidhi vigezo vya kupewa msaada,kwani kiwira,williamson,songas,buzwagi,nyamongo,kahama gold,ziwa victoria,ziwa tanganyika,tanga-mtwara coast,serengeti,selou,tarangire etc na rasilimali nyingine kibao tunazifanyia nini mpaka tupewe msaada.sisi ndio tunatakiwa tuwasaidie
kabla hatuja iondoa rwanda tujue kwamba kabila (baba) alifunzwa mbinu zote za kijeshi tz,mu7 alifunzwa na alisaidiwa na tz,kagame alifunzwa tz kwa hiyo tuanze kuifungia tz kwanza
Nadhani kama kiongozi na mtu unayefahamika kwa kiasi, kama wewe kuna baadhi ya mambo hutakiwi kufanya kama vile kupanda bajaji isipokuwa kama unamalengo ya kunasa hisia za watu,kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii nk.
Wewe ni dktari, na mbunge hupaswi kuishi kama wasanii. I can smell ur a...
mtatiro ningekuona wa maana kama chama chako kingekemea udini kwa kumaanisha,kingethibitisha sio chama cha kiislam,kingejitoa kwenye muungano na ccm,kingeungana na chadema kwenye kambi ya upinzani bungeni nk.kinyume na hapo your useless!!! ur nothing!!!!!
if you think twice you will see the possibility of war in the mentioned african countries.in nigeria it is obvious north and south, in ethiopia hardly does the ruling side accept democracy.in tanzania i dont expect ccm to leave state house in peacefull environment
huwezi tu kusema umaarufu wa jk umeshuka chini ya asilimia 50, leta vielelezo ili tuamini.mimi sio shabiki wa ccm ila ninavyoona bado ccm inanguvu,sio chama cha kubeza.tunacho hitaji sasa ni utafiti usio na upendeleo kujua ccm inavyokubalika au isivyokubalika kulinganisha na vyama vingine
Nafikiri umetazama karibu sana.
Nafikiri hatuna sababu, haja na zaidi uwezo wa kuwasaidia hawa jamaa. Tanzania kujiingiza kwenye huu mgogoro ni hatari. Mgogoro wa kongo ni zaidi ya Rwanda na Uganda, tafuta docomentary ya Aljezeera ya "Who assacinated Kabila" utagundua hili.
Umasikini tulio nao...
namshauri huyo MD asijali,kwani alienda chuo ili awe DMO? mimi ni MD na head of depatment wangu ni AMO,wananchi wanahitaji tiba na sio siasa,MD unatakiwa upige siza,laparatomy,orif,etc.Acheni kutafuta vyeo.Daktari wa ukweli anafurahia kutibu na sio uDMO.mie ndo natoka theatre sasa hivi nilikuwa...
kwa kiongozi mwenye akili na anayejua strength ya israel,anakaa kimya na kutazama tu,Israel is in the next level when you look at military,economics,technology,academics etc,anayeweza kupigana na waisraeli ni MUNGU peke yake.
unajua viongozi wetu wengi ni watu wenye IQ ndogo sana,mimi naamini kuwa bandari ya Mtwara ilipaswa kujengwa kabla ya Bagamoyo,na pia naamini hatuhitaji bandari Dar na Bagamoyo.kati ya hizi mbili tunataka moja tu,ya ukweli na kwakuwa ya Dar ipo,basi ingeboreshwa tu.Naamini tz tunahitaji bandari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.