Kweli tunaraisi wa aina yake yuko radhi kuwalinda waziri wa afya ata kama watazania wamekufa ajali ,but yuko tayari kumvua mbunge wetu chaguo letu kwa ajili ya roho yake mbaya.Lema ni chaguo la mungu so wote waliohusika kuanzia jaji watakutana no mkono wa mungu siku kumi na nne azitapita mtaona...
Kweli kamanda umesema kweli vicent ni jembe tena kama baba wa taifa.kwa mara ya kwanza naweza kusema CHADEMA wameweza kufanya kampeni za hali ya juu sana nilipata nafasi ya kwenda kwenya kampeni zao zilikuwa zinatia moyo.Haswa Mzee wa ANGA KAMANDA MBOWE muda wote alikuwa anatoa hotuba ya Amani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.