mimi nadhani suala la takukuru kuhoji wabunge ni makosa yaliyofanywa na mfumo mzima. mfano mdogo, utamuulizaje william lukuvi kama mkuu wa mkoa kwanini anapokea posho, while ni mbunge?
hapo utakuwa una 'mquestion' rais aliyemchagua kwani hakujua kama ni mbunge?
vivyo hivyo, ni wabunge wengi...
pamoja na kwamba anafanyiwa fitna , lakini tangu alipohamia katika jengo la watu hakuwa na plans zozote? maana wengi wetu sisi wabongo tunapanga nyumba , kulipa ni priority, sio kwako hapo, yeye kwanini hakutafuta eneo na pango alio na uwezo nalo?
Naona inaweza kuwa moja kati ya haya mawili
1. Kuna uwezekano waliotumwa kumdhuru Kubenea walidanganywa na tajiri wao (kama kweli ni bosi wa Bakhresa). Sioni uwezekano wa huyo bosi kuwaambia vinginevyo juu ya sababu ya kumdhuru mtu mwingine.
2. Watuhumiwa wamefundishwa cha kusema na hivyo...
Hakuna haja ya kuwapongeza mafisadi! RA apati sifa kwa vile amekuwa na uongo wa kueleza umma wa Tanzania!
Kwa heshima nyingi nakuomba moelex23 ufute kauli yako?
Hili halina tatizo hapa JF. Leta data za kutosha za kujenga hoja.
Hapa naomba waoijua katiba na sheria za nchi vizuri watoe mwongozo. Nafikiri hili ndio swali la msingi sana iwapo Raisi anatakiwa achukuliwe hatua.
Hali ya Somalia sidhani kama inaweza kutokea katika nchi yetu labda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.