Maandiko matakatifu yanatufundisha kwamba shetani ni mbaya sana. Kwakuwa shetani ana roho mbaya kuliko Mwendazake, basi shetani itakuwa ana roho mbaya sana.
Je wajua kwamba msemaji wa familia ya Nyerere ni Madaraka? Pia hakuna ubaya wa mtu yoyote kukaribishwa familia ya Nyerere. Nenda hata wewe, utapokelewa
Uchaguzi ni process na hiyo process hainzii tarehe 28 October. Wagombea wa upinzani wameenguliwa kishenzi, sasa mwenye akili timamu hawezi sema uchaguzi utakuwa wa haki
Mimi ni Mtanzania ninaye ishi Canada. Universal Health care ni bima ya afya ambayo kila mkazi anapewa na serikali. Kwa miaka ambayo nimeiishi Canada, sijawi lipia matibabu wala familia yangu kulipia matibabu. Kusema ukweli gharama za elimu na matibabu ni cost za serikali. Tena kwa watoto gharama...
Kanisa lake lilikuwa linaitwa kanisa la misukule. Wengine waliamini kwamba kama umefiwa na unaamini kwamba marehemu alilogwa, basi Gwajima atamrudisha. Wengi walinaswa kwenye mtego huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.