huyu william anapenda kujipendekeza kwa viongozi kama mwana mkeau anataka hurumaza kuteuliwa na wakuu? haoni hata ubunge wa kuteuliwa kaukosa? au kapewa u dc sijaona list
machozi yamenitoka, pole sn kaka yangu.Mungu akupe neema ya kuona siku cdm tutakapoikomboa nchi na udhalimu wa ccm.itakuwa ni furaha kuu, hakika utafutwa machozi
makamanda wametupa raha,yaani leo nimepata raha sana nafurahi kuwa CDM, nassari aje dar tumpe pongezi.Mungu amesikia kilio chetu.Nadhani magamba wamelala sie tuko macho!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.