Search results

  1. K

    Azam Tv yarudisha taarifa ya habari kwenye Kisimbuzi chao

    Nilisubiria sana.Sasa nitaanza kuangalia taarifa ya habari.
  2. K

    Uchaguzi Serikali za mtaa kugharimu bilioni 82.9

    Kama zipo watumie tu
  3. K

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Ikiwa mteja kaibiwa king'amuzi chake na mwizi anaendelea kukitumia na kulipia kwenu mnamsaidiaje aliyeibiwa kupata king'amuzi chake? Je aliyeibiwa akija na RB mnaweza kumpa namba za simu za mwizi wake?
  4. K

    Warombo,Wamachame,Wakibosho si wachagga

    Ni Wamochi Siyo Old Moshi.
  5. K

    JK kuitwa G8 ni kwa sababu katoa Ardhi kubwa kwa nchi za Magharibi

    Tanzania inauza ardhi kwa wazungu kwa kisingizio cha uwekezaji, huku wananchi wake wakihangaika kwa kukosa ardhi. Mfano mzuri ni hapa Arumeru, Wameru wanavamia mara kwa mara mashamba ya wazungu kwani hawana mashamba ya kulima. Huku serikali yao inaendelea kutoa ardhi kwa wazungu. Inauma sana.
  6. K

    Baraza la mawaziri la mseto ni dawa au mbinu za kisiasa?

    Kweli kabisa, wabunge walioteuliwa toka vyama vya upinzani watakuwa wanatekeleza ilani ya CCM katika baraza jipya la mawaziri. Hii itazidi kuipa nguvu CCM na kuzorotesha upinzani. Chadema wasikubali kabisa kuingia kichwakichwa kama NCCR
  7. K

    BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI - Spika, Waziri Mkuu wamuonya Kikwete

    Hakuna malaika, kila mtu ana mapungufu yake. Cha msingi mtu asiwe na mapungufu mengi zaidi ya mazuri afanyayo
  8. K

    Nisaidieni: Wa-tanganyika/tanzania bara wanafaidika nini na muungano???

    Sioni faida yoyote ya muungano, uvunjwe tu.
  9. K

    Hello JF members

    Nimejiunga rasmi na JF.
Back
Top Bottom