Uliyeandika hii thread you are a shit hole hujui unaloandika yaani wewe ni zero brain kabisa rubbish, stupid and nonsense.
Shame on you Buko 5 zinakusumbua.
Nafikiri huyu Kamanda alikataa kuingia CCM ,wakaona bora wamkill . This is not acceptable kwa hivi mtatumaliza wote.
R.I.P KAMANDA. FREEDOM IS COMING TOMORROW.
Paskali kweli nyie wasukuma ni washamba kwa wanawake weupe , yaani unadiriki kuandika kwamba akiachiwa Lulu basi CCM itapata kura kwenye uchaguzi wa madiwani kanda ya kaskazini?? kweli PASKALI?? uliambiwa watu wa kaskazini ni wapumbavu kiasi hicho?? by the way who is Lulu mpaka watu huko...
This is the worst statment kusikia kutoka kwako PASKALI na kuanzia sasa nitaanza kuhoji uandishi wako wa habari, hivi una cheti gani vile? au issue ni USUKUMA???
We yako ndio naona ndogo. Nyie ni watu wa ajabu unalinganisha uchumia wa nchi kwa majengo na barabara? STUPID IDIOTS. Angalia nchi za ulaya linganisha majengo yake na Dubai yupi yuko juu? Sasa ni kweli UAE wana uchumi mzuri kuzidi UK au Germany?
Sent from my SM-J320H using JamiiForums...
Mimi ni Mtqnzania. Tuache kulinganisha Kenya na vitu vya kijinga kwanza angalia budget yao 90% inatoka fedha za ndani wakati sisi Tz more than 50% inatoka kwa donors
Kifupi hao jamaa wapo juu kutuzidi tukubali tu.
Kifupi ni kwamba mgodi wa Mwadui yaani Williamson Diamonds Limited uliazishwa kabla hata Mwalimu hajawa Rais hii ilikuwa 1940. Lakini alipoingia madarakani Mwalimu alihakikisha kwamba serikali indamiliki 51% ya shears na Williamson 49% by then kampuni ya Dee-bers from SA.
Mgodi wa Mwadui umetoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.