Unatakiwa uwe chizi kuitetea serikali ya CCM.Sio siri inasikitisha binadamu kama ww mwenye akili timamau kushindwa kuguswa kwa unyama unaofanywa na police nchini kwa maagizo ya chama.Ujumbe wako hautofautiani sana na wa Nape na Mwigulu yawezekaqna ww ni mmojawapo wanaopanga njama chafu kama...
Loo sikuzote sikio la kufa halisikii dawa.Kwanza huyu bwana Tendwa muda wake wa kazi umeisha au hujui hilo anaendelea kufanya kazi kwa sababu analindwa na CCM na kwakuwa anafanya kazi ya CCM lakini anachezea pabaya sana CHADEMA ni kitu kingine kuliko mnavyofikilia.Tatizo lenu mnajifungia ndani...
Nasikia na hiyo Masters ya hapo MZUMBE aliandikiwa research na mtu.Huyu bwana atolewe katika nafasi ya uenezi vinginevyo ataua chama moja kwa moja.CCJ MOJA!
Tangu lini Butimba TTC ikatoa wanafunzi wa A.LEVEL combination ya EGM?mm ninachojua ni kwamba Butimba TTC ni chuo cha ualimu sasa inakuwaje huyu jamaa anasema eti Nape alihitimu pale A-level?
:gossip:
:gossip: Sio tu kulifungia gazeti la JAMBO LEO bali hata kuleta ukweli ni upi kama jambo leo ni waongo basi mbona hakusema ukweli wenyewe maana kinachohitaji ni riport hiyo inayomhusu Bwana Jairo.Tunaitaka hiyo riport.Makinda anapenda kutolea majibu ya vitu visivyohusika na...
Kama wewe ni mfuatiliaji makini utakuwa unajua kauli ya Prof.Muhongo alivyo sema juu ya gesi.tena kumbuka huyu anasema eti yeye sio mwanasiasa yeye ni mtaalam sawa lakin ameshindwa kuonesha ni utaalam gani alionao juu ya tatizo hili.Kitendo cha yeye kutangaza kuwa gesi ipo katika mipaka ya...
Hii ni dalili ya wazi kwamba Kikwete na serikali yake imechokwa hadi jeshini na kama mnabisha tembelea hawa makamanda watakwambia ukweli.Mungu ibariki tz
Wewe unadhani WASIRA alimaanisha nini kusema CDM kwishnei?Au unadhani huyu bwana ana lipi jipya la kufanya kwa watanzania waliochoka na ufisadi bila hatua yoyote ya makusudi ya kuwawajibisha?Hatuitaji mganga wa jadi au babu wa Loliondo kutuambia kwamba CCM ni adui wa maendeleo na haki hapa Tz.
Asante sana MWIGULU kwa kuonesha udhaifu wa serikali yako na usalama wa taifa uliolala.kwa mawazo kama haya inaonekana kabisa siri za ndani za CCM zinaanza kuvuja msiwe na wasiwasi watanzania Mungu atafichua kila ovu lilopangwa kufanywa na makafili hawa.Mkuu wa nchi ameshindwa kusema nn chanzo...
Haya mambo niliyajua mapema yatatokea maana huyu bwana Zitto amekuwa hasomeki mara anajitangaza kuwa rais kabla ya wakati,mara anazungumzia udini,mara ukabila,mara asafiri na rais,kwakwel inatia shaka sana.
Lakini hata afanyeje hawezi shindana na Mungu na labda kama hajui aendelee na tabia yake...
Siamini kama haya yanayofanyika ni ya mtu ninaye muamin kwamba ni makini kama mheshimiwa Magufuli.Lakini hata hivyo naye ameonekana kuchanganya mambo yasiyofanana kwa sabab ya presure za siasa.Yawezekana mbali na utaalam alio nao kuna jambo halielewi pale anapotakiwa kutoa matamko na maeneo...
UBARIKIWE KWA UCHAMBUZI MAKINI NA WA KINA.SISI TUMEYAZOEA HAYA MATAMSHI YA HUYU BWANA NA INAWEZEKANA VIONGOZI WOTE WA CCM WANAYATEGEMEA SANA NA NDO MAANA BADO AMEPEWA NAFASI HIYO YA KUTOA MATAMKO BILA UTARATIBU.NAKUMBUKA SIKU SILIZOPITA AMEWAHI KUTOA TAMKO KUHUSU KESI YA ARUSHA INAYOWAKABILI...
Kama Dr.Slaa ni mwenzao kwann wanataka kumuua?Mara ngapi amewasema wazi kwamba wana mbinu chafu za kuwateketeza na hata huyo vuvuzela hakuwai kukanusha?Na labda utajiuliza waliomtosa au kila anayetoswa na CCM ni mbovu kwamba hawezi kuongoza na kwamba hawezi kulinda misingi ya umoja wa wawatz?au...
Tofauti kati ya mlevi na mnywaji ni kwamba mlevi anawahi kulewa hata akinywa chupa moja ya bia na mnywaji ni yule anayelewa baada ya kunywa pombe nyingi lakini bado wote ni walevi.Wewe yawezekana ni mlevi au mnywaji namaanisha yawezekana umeongwa au ni mnufaika wa CCM kwa miaka nyingi lakin ni...
Kasema kwamba wanakwenda kundi kubwa wanatumia mabilioni ya walala hoi kukagua miradi ya milioni tano kama shule za kata na zahanati na wakati huo huo hata kama wakikuta uozo hawataushughulikia maana ni kawaida yao kuwalinda wezi.Vip kwani wewe hujiongezi hata kidogo?Yaani tumechoka hii misafara...
Barabara anajenga Mdee au serikali?Una haki ya kutoa maoni yako lakin pia una haki ya kumsaidia mbunge wako.Hujatoa taarifa kwa mhusika na kwa chama kwan wale ni wasikivu sana au wewe ni mbwa koko?Alaf hoja yako inanuka alufu ya umbea fulani hivi?kwan ww umejuaje kama Mdee anaendesha uongozi wa...
Nani amfunge paka kengele?kila mwanaCCM anajua bila pesa ndani ya chama hujulikani na hata kama mawazo yako ni bora kiasi gani.
Ni vigumu kuamini kwamba rushwa ndani ya CCM ipo siku itaisha.
Alafu hawa watu ni waajabu unajua!wanapishana kimawazo na wanagombana wao kwa wao.Makundi...
Sio vizuri kujifungia chumbani na kutoa taarifa bila utafiti na kutafakari.Wewe hutofautiani na vibaraka wa kikoloni waliokuwa wanawachongea wenzao kwa wakoloni ilimradi apate chapaa.CCM NI ZAIDI YA MKOLONI.Wanawatia watu hofu kwa kukosa sera mpya ya kuwashawishi watu kwa kuwa wameishiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.