:llama:Huo mshaara mzuri unaompa ni tsh.ngapi?kama hadi wa leo serikari haijawahi kulipa mshaara mzuri wa watumishi wa umma sembuse wewe kwa house girl wako,acha kulaghai umma.
Re: Unam-treat FAIR house girl wako?
MMMMMMMmmmmmmmmm.......Nina Wasiwasi na hayo uliyoyaandika kama si kufurahisha umma,angalia huu ni mwezi wa toba usije ukawa unajichumia zaidi dhambi.
:hatari:njia ya haraka na ya uhakika ni kumtwangia simu, akikudanganya we nenda kaketi meza ya jirani na yeye ambapo lazma akuone ila usimsemeshe lolote,
Hilo umetudanganya,kuketi pembeni yanini huku heartbeat zinasoma 170/120?...............Hacha Hizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.