Hivyo kwa sasa nisubiri majina yawekwe kwenye Website ya chuo, baada ya hapo nireport kwenye kituo chochote cha OUT. Hivyo eveidence ya kuonyesha hapo kituoni ni majina yatakayowekwa kwenye website.
Nimetumiwa Email kuwa nimechaguliwa kwa Masters nisubiri majina yatoke kwenye website ya chuo then nikareport kwa usajili na orientation. Je mkuu kuna haja ya kujaza hiyo form maually?
Habari!
kwa kutumia uzoefu wako na maelezo yako natumai utanipa majibu sahihi. Mimi nilifanya online application wiki mbili nyuma na leo nimetumiwa Email ya majibu na majibu yenyewe ni kama ifutavyo.
"This is to inform you that you have been admitted into Masters in .............. at the Open...
Asante sana kwa maelezo yako mazuri. Kwa ufahamu wangu umeandika kwa ujumla sana. Mimi ningeshauri kama unataka kuwashauri beginners ungeanza kuelezea Markup language kwa sababu HTML siyo programming language.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.