elimu a bana ni ya kuunga unga hivyo mimi sioni cha ajabu kwake kila anapoongea anajitahi sana kuitetea ccm akitegemea kupewa huruna ya cheo ni bora tuachane naye
mlitaka awafanyie nini hasa kama sio kuwasemea matatizo yenu bu geni! anayepaswa kufa nya yote hayo ni serikali inayokusanya kodi vinginevyo mchgue mafisadi waliowaibia pesa zenu
Hata bila mgomo watu wa hali ya chini wanaendelea kudhurika labda wewe ambaye unatibiwa nje ya nchi? hivi ni hosptal gani yenye dawa za kutibu hao watu wa chini, Watu wanakufa kwa kukosa dawa wanalala chini bila ya kitanda! Hayo ndo maisha ya watu wa chini ambao DR. ULIMBOKA ametezwa kwa ajili...
Huyu jamaa naona ana udini sana. Sasa haya ya PADRI yametoka wapi. Tumjadili Dr. Slaa na Zito badala ya dini zao kwa sababu dini zao sisi hazitatuletea maendeleo. Kwangu mimi Dr Slaa anafaa kuwa RAIS badala ya Zito. Ninonavyo mimi hata Zito ukimuuliza kwa nini anataka kuwa RAIS jibu anaweza...
ushindi 2015 ni lazima hata bila kufungua matawi. Wananchi wamechoka na hizi siasa za kulindana wanataka mabadiliko. Tuwepe moyo na kuzidi kuwaombea viongozi wetu wa CDM ili tuweze kuwakabidhi Ikulu 2012. hakuna wakuzuia hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.