Heri mbunge anayepambana kukomboa taifa kulikombunge anaye pambana kwajili ya kajimbolake pekee ndani yataifa la watumwa LISU sio mbunge wajimbo nimbunge wakitaifa
Demokrasia ni kuruhusu matendo yote yanayompa mtu uhuru wa kufanya atakavyo pasipo kuvunja sheria. Waache watu wachague wapi pa kwenda uhuru usigandamizwe
1.namchagua slaa coz nimweledi
2.anafahamu matatizo ya watanzania
3.hana majungu wala makundi kama zitto
4.hanatamaa wala wivu wakijinga na uchu wa madalaka
Mh;wenje ukosahihikabisa maanaviongozi wanaakili za kushikiwa tu.mizinga 20 inapaswa ikaguliwe kwabaisikeri maana gari hamsini kila gari litumie litaishirini mara hamsini mara2000 ni millioni 2 kiongozi mwenye elimu ya dalasa la 7 angetuma mtuwabaiskeri na million 2 waegenunua mizinga bora kama...
huyujamaa namanisha kikwete nidhaifu kuliko kawaida jiulize kamaaliapa kuilinda tanzania ilikuwaje ndege tena yakijeshi ikatua na ikachukua wanyama wetu twigavifaru na siyosungula yaanitwiga harafu rais kimya je almasi,dhahabu na madinimengine ambayo nipunje tu wamechukua kiasi gani.kweri rais...
nduyangu kwanzaheshima kwako huondio ukweriambaounapashwa usemwekwasauti kubwasana.ccm wameishiwasera zakuongoza taifa nivigumu kutofautisha kaulizao na zamateja maanapamoja na maneno yaliyosemwa na lusinde hayatofautishwi na maneno ya mateja na hakuanzia hapotu pia aliwahikusema bungeni ati...
jamani nduguzangu iereweke kuwa mh.sio kisima na siombunge wakwanza ubungo pia yeyehapangibajeti wakulaumiwani serikari ya ccm ambayokwamiaka hamsini imeshindwakuletamaji hata yachunvi.
Niliwahi kumwambia jamaa yangu kuwa ilikuepushavita kwa tuanze na tume ya uchaguzi.ili tukipata rais safi ndiyotuundekatiba mpya kamasihivyo jiandaenikwavita maana ccm hawakotayari kuundakatiba mpya.
Si jambo la busara kufurahia masahibu yaliyompata binadamu mwanziyo kuna siku yatakufika na wewe jambo lamsingi nikuombeana heri,pili hizi nikazi za watu kuna wakati ukifika ni lazima utawapisha wengine,tatu kuna suala la kufikia umri wa kustaafu sasa cha ajabu ni nini? au mtu mzima...
Mambo haya ni ya kawaida tu kila lililo na mwanzo halikosi mwisho, watu wa Ufaransa walishachoka na tabia ya Kiongozi wao huyu na ndiyo maana walimba jina la utani la Mr.blingi blingi, kwavile alipoingia madarakani tu alianza kwa kwenda mbele kwa mbele kwenda kujirusha na maboti ya kifahari .
Cha ajabu ni nini,kwani huyu siyo mtu wa kwanza kujiuzulu,pili ana haki ya kujiuzu iwapo anaona wamba mambo yanakwenda mrama tumpe mwda wa kutafaka na siyo kumsakama.
Bahati-ilala DSM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.