unaporuhusu kila mtu atangaze nia kwa sasa unatoa nafasi kwa watu kuanza kujijenga binafs ndani ya chama ili aweze kuteuliwa na chama badala ya kukijenga chama nje hivyo nguvu kubwa inatumika kujijenga ainafsi
mimi siamini kama watu wanaotoa post kama hizi ni great thinker kilichoandikwa kinamkana mwandishi kusudio lake. Vile vile sidhani kam kulikuwa na shindano la nani atawasilisha mapema hoja, MUHMU NI hoja/muswada uandaliwe vzuri kwa maslah ya wafanyakaz wa taifa letu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.