kuna mchangiaji amejibu vizuri hapo juu , ni kwamba anatutoa kijani anatupeleka magufuli au ukawa na si vinginevyo maana kuna chama hata yeye akikitaja anajua watu hawatamuelewa:bange::bange:
Pole sana ila ushauri wangu ni kuanza na masela wa hapo tukio lilipotokea kama ulivyoshuriwa hapo juu ,suala la polisi lije baadae ila cha kuongezea wakati wa kuongea nao uwaoneshe kuwa shida yako sanasana siyo pesa ila vifaa vilivyochukuliwa
Mimi naungana na mchamgiaji mmoja aliyetagulia TECH WIZ.Kuwa ingawa jambo la usalama wa majeshi yetu popote pale yalipo ni muhimu ili waweze kutekeleza majukumu yao na kurudi salama iwe kutoka jeshi la UN au ambalo limeundwa na mataifa ya Africa.
Wasiwasi wangu ni kuwa madhara ambayo...
Kipindi kinaendeshwa na clouds TV.
Nimebahatika kuangalia japo kidogo kipindi hiki na kuona hakina maudhui mazuri vilevile wale vijana au sijui ni majaji wanawauliza bibi zetu maswali ya kuwadhalilisha.
Mfano:
Swali: Yule jirani yako snacks hajambo na bibi mmoja aliyeulizwa akajibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.