Huyu mzee huwa ana busara sana tumuombe aendelee kutoa ushauri mara kwa mara ili tuweze kujinasua katika wimbi zito la vurugu zinazoanzishwa na vyombo vya ulinzi na usalama vikishinikizwa na serikali dharimu iliyokosa weredi.
Wasira ni dikiteta akiwa Rais mi nahama nchi siwezi tawaliwa na mtu kama huyo na wala asijione anapendwa labda kwa Kikwete tu jimbo la Bunda limemshinda hatakiwi sasa ndo aje atawale taifa ama kweli sasa urais umeonekana ni kazi nyepesi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.