siku zote sherikali ilikuwa wapi kuwaondoa machinga ubungo?wamewaandalia sehemu za kwenda kuendeshea biashara zao?Serikali haiono kuongezea uporaji,ubakaji na unyanganyi kwa kutumia Bisibisi,Mapanga,Nondo toka kwa machinga Mitaani kwa kuwaondoa bila ya kuweka utaratibu maalum?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.