Ni mapema mno kuchukua hatua kama hizo kwani waliwastadi waarabu kuwa walianza mipango lini kwani naona wamekurupuka kufanya hivyo badala yake polisi hawatawafyatulia risasi ila watabomoa majengo ya serikali na kuharibu mali za watu binafsi hilo linaonekana wazi!
Waberoya
Hata kwa kilimo cha mkono watu wanapata pesa nyingi nenda kaangalie wakulima wa pamba,kahawa na mazao mengine ya chakula mimi nimeona watoto wanasomeshwa kwa pesa kidogo hizohizo wanazolalamika kwamba ni kidogo. Tahliso kama shirikisho la wanafunzi wataalamu wanatakiwa watupe suluhisho...
Hata kikwete akachia madaraka ndio tutapata solution ?
Nafikili TAHLISO wafikirie jambo jingine la kufanya ili kuwafanya wazazi wa watoto wa Kitanzania kuendelea kufanya Kazi kwa nguvu ili waweze kusaidiana na Serikali katika kuwapa elimu watoto wa Kitanzania. TAHLISO kama wataalamu wanafunzi...
Hata kikwete akachia madaraka ndio tutapata solution ?
Nafikili TAHLISO wafikirie jambo jingine la kufanya la kufanya wazazi wa watoto wa Kitanzania kuendelea kufanya Kazi kwa nguvu ili waweze kusaidiana na Serikali katika kuwapa elimu watoto wa Kitanzania. nendeni vijijini mukaone wazazi...
Jamani nafikili watu lazima tubadilike hata kama baba yako ni kikojozi siku atakapofanya mazuri anastahili kupongezwa kwa hayo mazuri. suala la fedha za epa kwenda kutumiwa na wakulima wadogowadogo ni la msingi na lina hitaji kuungwa mkono na mpenda maendeleo yeyote
Wazee hii ni noma sana watu wazima na kuweka picha za uchi kwenye mtandao ambao hauko protected I SAY NO THEY HAVE TO BE BURNED FOR THIS HATUWEZI KUWAACHIA KIRAHISIRAHISI JAMANI TUSHIKAMANE KATIKA HILI HII NI BALAA KWA WATOTO WETU WANAOTEMELEA MITANDAO HII
Wazee hii ni noma sana watu wazima na kuweka picha za uchi kwenye mtandao ambao hauko protected I SAY NO THEY HAVE TO BE BURNED FOR THIS HATUWEZI KUWAACHIA KIRAHISIRAHISI JAMANI TUSHIKAMANE KATIKA HILI HII NI BALAA KWA WATOTO WETU WANAOTEMELEA MITANDAO HII
Ndugu Zangu Mimi Namshaurui Mke Wangu Ajifunze Kuendesha Kwa Mfumo Wa Manual Sio Automatic Kwa Sababu Utamfanya Aendeshe Azoee Mifumo Yote Miwili Nisaidieni Nifanyaje Anielewe?
Hakuna jinsi CHADEMA lazima watuonyeshe busara zao kwa kuachia madaraka kama walivyokubaliana na CCM, bila hivyo itaonyesha hata vyama vya upinzani havijali suala zima la utawala bora na suala zima la demokrasia. muafaka wa CCM na CUF ni tofauti na huu wa CHADEMA na CCM kwa sababu walikwisha...
Jamani mie nafikili JK amefikia mahali bora atumie wajeshi wenzake maana anaona raia wanamharibia mpaka sasa jamaa anarekebisha matatizo tu aliyoahidi wakati wa kampeni mengi nayaona bado.
Mwe maswali ya wadanganyika atajibu nani kama balaaa hili limeshachukuliwa na mwenyezi mungu lakini bora mungu kamchukua maana wabongo wangeweza kujichukulia sheria mkononi wakamchoma moto kama kibaka wa tandale bila hata kumsikiliza. eee baba muweke mahala pema peponi balaa hili!
na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.