ma ccm wote mataahira, na wafa maji hawaachi kutapa, wanakaribia kukata roho, miaka hamsini ya utawala leo hii, mvua ikinyesha mara moja tu, barabara hazipitiki hivi mna akili kweli?
Hilo mbona ndo lengo lake , ila kwa ujinga anadhani atapona, kwakuwa aliingia madarakani kwa mgongo wa ubaguzi(makundi) hivyo dhambi hiyo haitamwacha, lazima imtafune,
tatizo la viongozi wote wa vyombe vya ulinzi na usalama ni wanasiasa tena wanalinda na kuwetetea hao waliowateua, mnategemea wawasikilize wananchi, imekula kwetu, ndo maana tunawaambia raisi apunguziwe madaraka ya kuteua teua watu katika kila sekta, ni wazi lazima wamlinde, kwahiyo kazi kwetu...
DU, kugundua kuwa tulibugi umechelewa, wachache tuliliona hilo mkatuona wajinga, sasa ndo mtajuta wakati kumepambazuka, General Waitara aliposema jk hawezi kuwa rais si mlimwona mjinga, sasa yametutokea puani, lakini hata yeye haponi, Mungu si mjinga naye atapata joto la jiwe, hawezi kuwa salama...
Serikali haina jipya, tangu uchomaji wa makanisa, mpaka sasa nani ameshakamatwa, polisi hawana jipya wala uwezo wa kiuchunguzi, huuu ni mwanzo watanzania subirini makubwa, hicho ndicho alichopanda kikwete alipoingia madarakani kwa makundi sasa yanaitafuna nchi, kaeni mkao wa kula mlidhani...
MKUU umeisahau Tabora nao bado wamelala ni mkoa wenye historia lakini mpaka sasa hawajaunganishwa na barabara ya lami hadi sasa, hiyo ndo hasara ya kuendelea kukukmbatia ccm,
tatizo la magamba, hawajui kupima maendeleo kwa muda wanaangalia karibu wanasahau muda waliokaa madarakani hauwiani na maendeleo ya nchi. Tatizo mwenge umeshaawaathiri....wamepoteza hata uwezo wa kufikiru wamebaki kuwa washabiki wa chama ambacho hakina msaada....waulize wanajua kauli ya vigogo...
moyo tulikuwa nao wakati wa iddi amin kwasasa haupo kabisaaaa.....usijidanganye...hakuna wa kukubali kufa ikiwa nchi inaliwa na wachache tena kwa jeuri....
Nawaambieni watanzania kabla huyu jk hajamaliza muda wake atakuwa ametukoroga sana katika udini, majimbo, ukabila, makundi ya wasionacho na wenyenacho.......nyie mchekeeni tu ....anaangamiza taifa tunamwangalia tu!
Mlimchagu wenyewe tena kwa mbwembwe kuuuuuuuuuubwa! Na bado mnamwona yeye na chama chake ndo kinafaa kuendelea kutawala.....msilalamike jamani......ndo chaguo letu mliona ndo bora....sasa wengine watakuwaje?
ndo mwone sasa, kuwa kiongozi wenu alivyo dhaifu, kwa kupigwa mkwara na Mama wa malawi. Yule mama ni strong mara mia ya Jk wenu....haaaa haaaaa. ana msimamo na anaweza akawajambisha msimdharau kwani alidhubutu kumfukuza kazi mkuu wa polisi na jeshi sio wa mchezo ooooh!
wanafisadi nchi mpaka wamesahau ulinzi.....wanatafuna tuuuu....ni viiongozi wa ajabu sijawahi kushuhudia, yaani jamani nchi ipo ipo tu!!!!!!!!!!!!!Hakuna kitu kilicho sawa sawa kila kitu kipo mrama
Wala siafiki jeshi kwenda kutetea uongozi dhaifu kama huu. waache wachukue tu.ni bora kwani uongozi wenyewe hauwajali watu wake, ikiwezekana walianzishe kama idi amini powa tu, cha kufia nini.
Uzalendo ule wa vita na uganda ndugu yangu nikwambie haupo tena, na ndio maana hawezi kufanya hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.