Hiki chama chake Zito kinaonekana kina mtu wanaemtaka awe president na wanaomba sana kama kusingekuwepo na uchaguzi wa ndani ya chama,ili wampitishe mgombea wao. Kwahiyo hii inaonyesha kuna matabaka ya aina nyingi ndani ya hiki chama but yanafumbiwa macho. Kwann hamtaki Zito awe rais wakati ana...
Kuna kitu kimejificha! but i,m sure very soon mbichi na mbivu itajulikana.But what is interesting is how they can stop play gospal while SLAA ni Padri aliyekiuka maadili
Hapo nampongeza Rais Kikwete coz Mwandosya atakua kama Gaucho au Zidane katika timu yaani mchezaji huru, so atakua anacheza namba zote and he deserve that position. I think this would be one of the good team to happen in Africa, much respect to JK for innovation of new strategies so as to reach...
Watanzania kila kitu mna doubt, sasa mnadhani hii katiba ni ya wananchi au ni ya vyama vya siasa. Kwahiyo mlitaka achaguliwe SLAA ndo mfurahi, lazima mjue kwamba si kila mtu aliyekomboka (conscious person) basi awe CHADEMA
Mkuu, nna wasiwasi kidogo na hoja uliyoitoa. Unaposema fungueni madrasa za kutosha, in one way or another unalenga itikadi zako za udini,but wanaharakati tunaendelea kuwaamsha watu waliolala usingizi tena kwa usingizi wa pono, ili waepukane na itikadi zenu ambazo zina lengo la kukandamiza upande...
Lipumba ndiye anayefaa kuwa kiongozi wa nchi hii, but now days watu wanapiga kura kwa kufuata itikadi fulanifulan na sio kuangalia sera safi kama anazozitoa Prof. Katika wagombea wote wa nafac ya Uraisi Lipumba ndiye anayestahiri, kwani alishawai kusema yeye ni mlima kilimanjaro na wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.