...ni kweli, kila wakati nilipokuwa depressed solution ilikuwa ni ku-do. Nimefanya hivyo takribani miaka kumi na imenisaidia sana. jana nilikuwa depressed nilifikiria ku-do ili iniondolee stress. leo asubuhi nimesoma utafiti huu...kwa uzoefu wangu naona utafiti umenena!
Botique nyingi wanauza, ni common. Fika maduka ya Mwenge, Posta mpya, kariakoo na kwingineko kwingi tu. Gwanda zilikuwepo toka zamazi ila CDM waliamua kufanya kuwa vazi lao rasmi. Kuna kila rangi za gwanda utazipata bila wawasi.
Nape ni miongoni mwa wanasiasa wazuri, namshauri aachane na propaganda/siasa za maji taka hizo ni siasa za kizamani enzi za chama kimoja. Sasa hivi ni siasa za kisasa zinazoenenda na utafiti, ukweli, utashi wa kisiasa na uzalendo wa kweli kwa taifa na watu wake ndicho kilichomfanya awe katika...
yashangaza kuona mtu anakatiliwa haki ya kuishi kwa kusimamia na kuongea ukweli na kama ni uongo mbona huyo mnae muita IGP wenu kanyamaza,na ukweli wanaujua mwezi mungu mwenyewe muumbaji hamnyimi mtu haki ya kuishi lakini wao wamekua wakwanza kuhukumu mabaya kwa watenda mema wanyonge tukimbilie...
What is difference btn Air Tanzania and Ethiopian Airline. While Air Tanzania can not crew, stand or walk alone Ethiopian Airline is running, competing at the London Olympic coming up with Gold medal. Is this a curse to Air Tanzania?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.