Lazima achanganye mafile maana waliomtenda ndio hao hao anajaribu kuwapamba lakini Mungu sio Asumani anaufunga ulimi na ubongo wake ili andiko litimie.
KIJANI MUST GOOOOOOO
Kwa hiyo kwa sababu hajatangazwa kuwa mgombea ndio anaruhusiwa kutoa rushwa?!hizo pesa anazogawa ziliidhinishwa na bunge gani na kwa shughuli ghani?!mada nyingine ni za kujadili na wanachama wenzio huko vikao vya ndani kwenye kudanganyana na sio za kuleta kwenye majukwaa ya watu wenye kufikiri...
Huko walishazoea sera ni za mgombea na sio za chama.CCM ilishajifia siku nyingi tu ni vile watanzania wengi hawajui nyakati. ndio maana kila siku mzee Mkapa alikuwa anamkosoa JPM anaposema serikali ya Magufuli badala ya serikali ya CCM lakini watu hawakumuelewa yule mzee masikini. ukitaka kujua...
Usicheze na profession za watu kuziingiza kwenye ujinga ujinga bana.weka siasa mbali na facts.hela zimepigwa baasi ni professional gani ataingilia mabishano yasiyo na tija?
Na wewe unayelipwa kwa kodi zetu sisi masikini kuja kutetea ujinga huu huku mitandaoni unajiona ni mzalendo?kama huyo bwana ana makosa hayo kwa nini asipelekwe mahakamani kuliko kumshikilia?
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ Vita ya kiuchumi ni ngumu sanaaa.....Masikini Lissu namkumbuka sana kwenye hii sakata.alitutahadharisha lakini ujuha ukatupoza. saa hizi yupo anauguza majeraha yake kwa kutaka kuwasaidia wadanganyiaka.pole sana Lissu
wewe una kichaa cha mbwa sio bure.wewe unafikiri fedha zote hizo zilizopotea/kutojulikana zimeenda wapi zingeletea watanzania wangapi maendeleo? ni bora ukanyamaza kama huna cha kuandika hapa na sio kwa upotoshaji huo nyambaaaaf
Pengo alishajishushia heshima yake siku nyingi sana kuanzia pale alipolikana tamko rasmi la baraza la maaskofu yeye akiwa mwanachama juu ya uhitaji wa katiba mpya ya wananchi.kwa hiyo kwa sasa hata akikubali kutumika kumsafisha makonda au kutetea maovu tunayotendewa sisi waumini/kondoo wake ni...
Inabidi wanyooshwe maana wamekengeuka na kuwaacha kondoo wanatawanyika.sasa hizi mnazoziona ndio sura zao halisi.wamekaa kimasilahi binafsi zaidi na sio kuwaongoza waumini wao njia zilizo njema.waumini wa watu hawa inabidi wajipime na kutafakari umpya.haiwezekani waumini wananuka tabu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.