Mara nyingi naona ni kukamilisha ratiba tuu....kama serikali ni sikivu kama wanavyotaka wajulikane mambo mengi sana yenye impact katika jamii ambayo wabunge wanawasilisha yangepatiwa ufumbuzi pia naona sometime wanaangalia hoja/mchango imetoka wapi kama ni upinzani tupa kapuni.
Nimeupenda sana huo wimbo..ngoja niweke mashairi yake hapa wadau msome:
MISS TANZANIA-SOLO THANG "[Ubeti wa Kwanza] Baba yake alikuwa mkoloni kipindi huyu Miss mwali
Mchonga alikata utepe lakini hakuvinjari
Sababu alikua busy kumlinda na geti kali
Kumbe wenzake wanabinjuka, kushtuka akakaa...
Manispaa hizi 3,kinondoni,ilala na temmeke wanakusanya mapato mengi sana,lakini ufisadi ndo unakwamisha mambo,mbona kuna vichwa kibao vinaweza design system nzuri ya maji safi na maji taka???? mimi sitaki kulaumu lakini wabadilike ni muda sasa wa kutumia wataalam wetu waliopo,...maana system...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.