TRA dar wanasumbua sana watu wanao invest kwenye commercial buildings kwa kuwadai hundreds of millions kwa kisingizio ya source of income.ukitaka kujua hili sio jambo jema kwa growth ya nchi.watu wanaoomba vibali vya commercial buildings imepungua kwa 80 percent pls fanyeni uchunguzi wenu kidogo...
Kenya wasomali ni nchi yao kama ulivyo wewe hapa tanzania .miji kama isiolo .mandera .garisa.wajir.yaani the whole of North Eastern ya kenya wanaishi wasomali so pls do your homework kabla ya kuandika .sometimes ujinga wako reflects on what you write!
TAFADHALI SOMA KUHUSU WASOMALI WA KENYA.
The average Kenyan woman is having 4.6 babies, pushing up the country’s population by a million people every year. As a result, the population now stands at 38.6 million nationally, up from 28 million in 1999.
But it is the growth in population of the...
Siasa za kufanya fujo na kutukana ili ufungwe zimepitwa na wakati.its time lema abadilike ajenge hoja bungeni kama akina zitto na Bashe. Na kama Huna uwezo huo sio lazima utafute popularity so hard some time inaweza kukufanya watu wakakudharau na kukuona muhuni tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.