Kweli kajiharibia vibaya, asipojiangalia ataamsha hasira za watanzania wanaopenda afikishwe mahakamani kwa kufanya biashara akitumia vibaya nafasi ya kukaa ikulu.vinginevyo ajitathimini upya,atulie aendelee kula pension yake taratibu.mambo ya siasa za kuchafuana na kutukanana awachie akina...
Gazeti la RAI lilichapisha utafiti ambao ulileta mashaka kwa wengi na kupotosha kwa kiasi kikubwa kuhusu atakayeshinda uchaguzi wa arumeru mashariki.Tunawaomba mara baada ya uchaguzi kufanyika na mshindi aliyetangazwa kujulikana,ambaye ni tofauti na matokeo ya utafiti wao sasa wajitokeze na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.